Sasa mtu unazeekaje kwa mpenzi wako, unaependa na kufurahia kuwa nae kama sio unaishi nae kama jukumu zaidi ya mapenzi?
They sure are. . . the problem is always with us.you know what I am saying...
Men are perfect creatures from Mars and angels from heaven.
They sure are. . . the problem is always with us.
We are difficult creatures...hard to understand and impossible to please.
wewe sasa unazungumza out of assumption now
wapi niliposema hakuna mapenzi bali majukumu...?
hizo ni assumptions zako.....
Thread closed?
you can say that again...lol
Hahahaha. . .
Ngoja nikusaidie kusema kwamba by admitting that painful truth 'I made your day'.
actually Lizzy unafanya the same mistake ambayo unaipinga
ya generalization....unapinga wanaume tuki generalize wanawake wote as the same
while na wewe unafanya hivyo hivyo by your statement.....umeona?
Hahaahha Boss usidanganyike. Fuata mtiririko wa post tulizokua tunarudishiana na AG utaelewa kwanini.
Alafu weweeeeeeeeeeeee. . .
Mbona pale juu umeandika "kwanini WANAWAKE wako hivi" kitu ambacho kinaweza kikaashiria kwamba unaongelea wanawake kwa ujumla na sio baadhi? Au ndicho ulichotaka?
wanawake ni wooote wanaonuna nuna bila sababu ya msingi
ni wooote....angalau wanaume sio wengi....
Hiki kiti kinaniudhi na bahati mbaya zaidi naamini kila mwanamke anacho.....
ni huu ugonjwa wa kununa na kususa kwa jambo doogo.....
mtu unaweza kununiwa hata mwezi mzima,mpaka ukahisi
labda love ishakufa na sasa ufanye 'maamuzi' mengine.....kumbe makusudi tu
unakuja kumuuliza utasikia 'ahhh unajua siku ile iuliniita mjinga uliniuudhi sana'...
na hapo anaezungumza hivyo sio mtoto mdogo ni mama wa watoto na wajukuu...
swali ninaouliza hapa hivi kuna wanawake ambao hawanuni wala kususa?
na why mwanamke hata awe above 50 na wajukuu na phd juu
bado still huu ugonjwa wa kununa nuna na kususa hawaauachi????
tena mara nyingi mwanaume unakuwa hujui haswaa umenuniwa kwa sababu gani...
si ajabu ukiuuliza unaambiwa 'aah hamna kitu',while mtu hayuko sawa...
kwa nini wanawake wako hivi????
show me mmoja tu ambae ni tofauti...
...kununiwa ni ukumbusho kwako [mwanaume] umejisahau kumbembeleza kama zamani..
...kununiwa ni ukumbusho kwako [mwanaume] umejisahau kumbembeleza kama zamani..