Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Huu ugongwa wa kupoteza kumbukumbu(dementia) ni common sana kwa watu hasa wazee kuugua huko Marekani na Ulaya.
Kwa hapa bongo ni nadra sana kukutana na mtu anayegua ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu (dementia). Maisha yangu yote nimewahi kumuona mzee mmoja tu akiugua huu ugonjwa, tena alikuwa amezeeka sana akiwa na miaka takribani tisini.
Huu ugonjwa ni common kiasi gani kwa Tanzania?
Kwa hapa bongo ni nadra sana kukutana na mtu anayegua ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu (dementia). Maisha yangu yote nimewahi kumuona mzee mmoja tu akiugua huu ugonjwa, tena alikuwa amezeeka sana akiwa na miaka takribani tisini.
Huu ugonjwa ni common kiasi gani kwa Tanzania?