Ugonjwa wa Kuwashwa Mwili Umeenea: Naomba Msaada Wenu

Ugonjwa wa Kuwashwa Mwili Umeenea: Naomba Msaada Wenu

q
Scabies.
hapo mtaumwa familia nzima maana ni ugonjwa wa ngozi unaoambukiza, nenda hospitali mpate dawa zipo za kupaka
Sio ugonjwa wenye madhara sana ila unatesa
Na tuanateseka haswa aliyepona alitumia dose 2 weeks saivi kapona kabisa allikuwa na mpaka vidonda vya mapele..tushaanza dose tunasubir matokeo
 
Chakukusaidia ili upate usingizi bila kujikuna kuna nenda maduka ya kisuni nunua habat soda ile ya mafuta kunywa kimfuniko/kijiko kimoja hazitazidi dakika 20 hiyo hali itapotea utalala
Wazo Zuri shukran
 
wife ulimsumbua sana huu ugonjwa kabla ya kwenda hospital chukua piritoni meza hafu utanpa mrejesho
 
Wakubwa ee nisiwe kama wale wakoma kumi ,natoa shukrani za kabisa kwenu hatimae nimepona kabisa siku ya nne leo hakuna harara wala kuwashwa tena mwili ..Mungu awabariki wote mlioonesha nia ya dhati kunisaidia mawazo dawa gani nitumie asanteni sana...
 
Wakubwa ee nisiwe kama wale wakoma kumi ,natoa shukrani za kabisa kwenu hatimae nimepona kabisa siku ya nne leo hakuna harara wala kuwashwa tena mwili ..Mungu awabariki wote mlioonesha nia ya dhati kunisaidia mawazo dawa gani nitumie asanteni sana...
Ungesema dawa gani umetumia hili wengine iwasaidie
 
Wakubwa ee nisiwe kama wale wakoma kumi ,natoa shukrani za kabisa kwenu hatimae nimepona kabisa siku ya nne leo hakuna harara wala kuwashwa tena mwili ..Mungu awabariki wote mlioonesha nia ya dhati kunisaidia mawazo dawa gani nitumie asanteni sana...
Umetumia dawa gani? Maana nina ndugu zangu wako Songea, wanahangaika na hilo tatizo.
Nitajie Dawa ili niwaambie na wao wakanunue, watumie.
 
pole sana....huu ugonjwa kama hauna uhusiano na herpes(kama nimekosea wataalamu watarekebisha) dawa yake ya kuacha kuwasha ni detol(sio sabuni detol ya maji)
ukimaliza kuoga weka maji lita 10 halafu weka kifuniko kimoja(usizidishe kifuniko kimoja utachubuka)
kila unapooga fanya hivo
mimi kwa siku naoga mara 2,asbh na jioni so nilitumia kwa siku3 tu sijawashwa tangu mwezi wa 6 hadi leo tar 13/07/2024
pole sana najua unapitia kipindi kigumu
 
pole sana....huu ugonjwa kama hauna uhusiano na herpes(kama nimekosea wataalamu watarekebisha) dawa yake ya kuacha kuwasha ni detol(sio sabuni detol ya maji)
ukimaliza kuoga weka maji lita 10 halafu weka kifuniko kimoja(usizidishe kifuniko kimoja utachubuka)
kila unapooga fanya hivo
mimi kwa siku naoga mara 2,asbh na jioni so nilitumia kwa siku3 tu sijawashwa tangu mwezi wa 6 hadi leo tar 13/07/2024
pole sana najua unapitia kipindi kigumu
Em weka picha ya hiyo detol hapa, watu waone wajue ni ipii.
 
Narudia tena dawa yake ni Scaboma inatoka malaysia..nunua ya Lotion na upake mara moja tu inatosha maana inaingia hadi kwenye figo acha kuhangaika na dettol hutapona....never tumia hiyo tu..japokua ina madini ya hatari ya lindane.....ndio maana unashauriwa mara moja tu
 
Umetumia dawa gani? Maana nina ndugu zangu wako Songea, wanahangaika na hilo tatizo.
Nitajie Dawa ili niwaambie na wao wakanunue, watumie.
Songea na mbinga mambo ni moto ni kujikuna vipele hasa sehemu za makutanio..nilitumia sabuni kuogea tstesmosol(sjui nipo sawa ila pharmacy wanaijua)baada ya hapo nilipaka potassium ikikauka napaka Lotion Scaboma na entezma(hii iliondoa mabaka na vipele kwa haraka sana ..nilikunywa mafuta ya pilipili manga..nilimeza fluconazole kwa siku 3,NEOLOR kwa siku tano.
Kwa ufupi cjui ni dawa gani sahihi iliniponesha ila sawa nilizotumia ni hizo.kwakuwa vidonge ni mara moja kwa siku asbh na mchana nilikunywa kifuniko kimoja cha mafuta ya pilipilimanga(jina nimesahau ila nilipata maelekezo na matumizi yake humu humu JF)
 
Narudia tena dawa yake ni Scaboma inatoka malaysia..nunua ya Lotion na upake mara moja tu inatosha maana inaingia hadi kwenye figo acha kuhangaika na dettol hutapona....never tumia hiyo tu..japokua ina madini ya hatari ya lindane.....ndio maana unashauriwa mara moja tu
Ni nzuri mno imenisaidia sana na ilichangia kiasi kikubwa kuona manadiliko ya haraka kwangu na wanangu tumepona kabisa
 
Back
Top Bottom