Ugonjwa wa meno

Ugonjwa wa meno

Baba Wille

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2014
Posts
548
Reaction score
551
Hapa naugulia jino hadi ufizi umevimba.. Naomba kwa hakika kujua asili/chanzo halisi ya/cha kuugua/kuoza meno na kama kuna dawa ya kutibu (sio kutuliza) au lazima kung'oa.. Nisaidieni wenye utaalamu jamani!!
 
Ikiwa limetobolewa na mdudu dwa yake ni hii
Tafuta mgomba uliokatwa muda mrefu kias cha shina lililobaki kunyauka maganda ya nje.Katikati ya hicho kisiki cha mgomba kuna ganda lenye unyevunyevu/halijakauka kama yale ya nje.Chukua kinyuz kidogo kutoka ktk hilo gamba bichi la katikati kisha kichomeke ktk tundu lilitobolewa na mdudu.Ukiweka utasikia ubarid kisha joto kisha itapoa fanya ivyo mara tatu mdudu mtoboa jino atakufa.Ukifanikiwa kama mimi sambaza tiba kwa wengine.
 
Pole. Nenda hospital watakusaidi kwa uhakika. otherwise tafuta dawa ya meno ya kampuni ya foreverliving inayoitwa forever bright tooth gel ni nzuri kwa matatizo hayo wengi imewasaidia.
 
Back
Top Bottom