nilitumia bima ya afya but bei iliandikwa lak moja na elfu ishirini(120,000) so sijui kama ndo bei halisi au laIko kipimo cha endoscopy bei gani mkuu
Ooh mi mwenyewe vinanisumbua sana ulipima hospital ganinilitumia bima ya afya but bei iliandikwa lak moja na elfu ishirini(120,000) so sijui kama ndo bei halisi au la
pole sanaaa,Jaman wanajf naombeni msaada wa dawa ya vidonda vya tumbo,mana nimetumia dawa nyingi tu ila zinatuliza maumivu tu kwa mda fulan,So kwa yeyote yule anayefahamu dawa inayoweza kuponya kabsa naomba anisaidie plizz
asanteeMkuu pole sana,nina mdogo wangu alikua ana tatizo hilo lakini tunamshukuru Mungu alipata tiba na sasa hivi yupo vizuri anakula maharage,dagaa,pilipili ,najua maumivu unayoyapata,kama utakua haujapata msaada ni PM
okeyy asanteeepole sanaaa,
Mcheki huyu umueleze shida yako 0674731277
Sisi tunaumwa ulcers tupo wengi, tunahitaji msaada wa kila ndugu humu! Sa wote tuje piyemu! Kulikoni?Mkuu pole sana,nina mdogo wangu alikua ana tatizo hilo lakini tunamshukuru Mungu alipata tiba na sasa hivi yupo vizuri anakula maharage,dagaa,pilipili ,najua maumivu unayoyapata,kama utakua haujapata msaada ni PM
Pm tena mkuu? Kuna mdogo wangu anahitaji sana dawa ya kumponya, tuletee hapa tufaidi wote mkuu.Mkuu pole sana,nina mdogo wangu alikua ana tatizo hilo lakini tunamshukuru Mungu alipata tiba na sasa hivi yupo vizuri anakula maharage,dagaa,pilipili ,najua maumivu unayoyapata,kama utakua haujapata msaada ni PM
Tiba alipata wapi mkuu tuambizane tufaidike wengneMkuu pole sana,nina mdogo wangu alikua ana tatizo hilo lakini tunamshukuru Mungu alipata tiba na sasa hivi yupo vizuri anakula maharage,dagaa,pilipili ,najua maumivu unayoyapata,kama utakua haujapata msaada ni PM
vipi mkuu, naona uko online hii dose umeitumia vpi majibu yake. hili nivtatizo kwa wengi.ndo zile chapamandash mnaita?
sijawah tumia mkuuvipi mkuu, naona uko online hii dose umeitumia vpi majibu yake. hili nivtatizo kwa wengi.
huyo jamaa hadikii dawa,ila kwa mara ya kwanza baada miaka miwili ya kusumbuliwa na h pylori juzi nimepima hakawa hajaonekana aseeAsante sana kwa somo zuri kesho naanza hizo tiba nimeteseka sana na huyu Helcobacter
mkuu habari, asali, maziwa fresh na mdalasini ndio ulitumia vipi ulipona?Poa mkuu ntajitahidi
Hizi ni akili ama matope
ulitumia nini nduguhuyo jamaa hadikii dawa,ila kwa mara ya kwanza baada miaka miwili ya kusumbuliwa na h pylori juzi nimepima hakawa hajaonekana asee
Sent using Jamii Forums mobile app