Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Jamani wakuu naombeni mrejesho plzz
Hasa wa vitunguu swaimu atleast naweza tumia
 
Asante sana kwa somo zuri.
Pia mizizi ya mti wa mforosadi inasaidia kutibu vidonda vya tumbo.
Chemsha mizizi ya mforosadi (vipande kama 8 -10 hivi) ktk maji (lita1.5) hadi boiling point.
Epua kisha acha vipoe. Ondoa mizizi kisha kunywa juice yake; kunywa glass moja moja, kutwa x3
 
Mmb powder dawa ya vidonda vya tumbo Asilia inazuia kutapika damu pamoja na kutibu vidonda vya tumbo dose yake ni elfu 30 unaitumia kikamilifu ndani ya mwezi mmoja kwa muhitaji Piga namba 0754 446724 Voda au 0683882959 mikoan tunatuma unachangiwa asilimia 50 ya nauli.
 
Kwa mwenye msaada wa dawa au tiba ya vidonda vya tumbo wakuu naomba anifahamishe.Natanguliza shukran
Mmb powder dawa ya vidonda vya tumbo Asilia inazuia kutapika damu pamoja na kutibu vidonda vya tumbo dose yake ni elfu 30 unaitumia kikamilifu ndani ya mwezi mmoja kwa muhitaji Piga namba 0754 446724 Voda au 0683882959 mikoan tunatuma unachangiwa asilimia 50 ya nauli.
 
Mkuu ipo dawa itakayo kusaidia na kuepukana na hiyo laki tisa kwenda kufanya vipimo
Mmb powder dawa ya vidonda vya tumbo Asilia inazuia kutapika damu pamoja na kutibu vidonda vya tumbo dose yake ni elfu 30 unaitumia kikamilifu ndani ya mwezi mmoja kwa muhitaji Piga namba 0754 446724 Voda au 0683882959 mikoan tunatuma unachangiwa asilimia 50 ya nauli.
 
Pichaaaa tafadhaliii.
 
Nitashukuru nipo dar kama agent prodduction yake ipo Mbeya kama upo mkoan itatumwa kwa kuchangiana gharama asilimia 50
 
hayo si nimanasa nguo au nisaidie mama yangu hali yake ni mbaya
 
Kwa wale mnao hitaji mmb powder dawa ya vidonda vya tumbo mzigo ushawasili dar nicheiki 0787630012 call au whatsapp
 
Tafadhari mkuu tunalisubir bandiko hilo kwa hamu!
 
Mada nzuri...
 
Hata mimi mkuu ni muhanga wa vidonda vilivyosababishwa na acid,hao H.pyrol nimeshapimwa zaidi ya mara 3 sijakutwa nao...
 
This is not a publication, what I mean is a Scientific peer-reviewed publication.
Niliumwa vidonda vya tumbo kwa miaka kadhaa, hizo dawa zenu za kizungu wakati nyie ni waafrika hazikufanya lolote.
Baada ya miaka almost Nane(8), nikapona ulcers kwa dawa ya kienyeji ndani ya wiki tatu tu. Na gharama yake haikuzidi 250,000/=

Sasa nyie mnajifanya na usomi wa kukariri madudedude tu na kujifanya mnajua maarifa yote.

Kitu unapaswa kukumbuka ni kwamba siasa, ubepari na ushetani upo kila nyanja. Mambo hayo matatu hayatakuacha utumie maarifa yako kwa uhuru. Kwa sababu kila unachojaribu kufanya wana maslahi nacho. I.e Mungu anakupa maarifa ya dawa kwa mfano ya ulcers ila kuna kundi la watu pembeni wanataka kulithibitisha kwa standard zao(yaani watumie akili zao kuprove maarifa yatokayo kwa Mungu)

Wasomi wengi hasa madaktari wameifanya science kuwa mbadala wa Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…