Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,020
- 6,161
pia aepuke kula dagaa na citrus fruits - limao, ndimu na machungwa.Pole sana, acha kula vyakula vifuatavyo,
Maharage,chai ya rang, viazi vitamu, ndizi hasa za kuchemsha,pombe aina yeyote, soda, chipsi,pili pili,nk kidogoooo itakusaidia kupunguza tatizo la muamivu
Ni kawaida kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Huwa naona kama hizi omeprazole zinatuliza tu. Binafsi nina tatizo hili na nimeamia kwenye miti Shamba na hali ina improve vizuri tu.Mkuu nacho jiuliza why maumivu yakate afu yarudi tena
Sure!Jibu hili hapa [emoji117] chakushangaza doctor alisema nitumie iyo dawa kwa miezi mitatu.
Mkuu hospital nilipewa dozi ya siku 10, so kwa miezi mitatu ilibidi ninunue pharmacyWew unatania aliyekwambia nani dozi Ni siku kumi, huuu ujuwaji ndo unawaponza watanzania mm nmeugua vidonda vya tumbo miaka mitatu, nliacha kula kila kitu cha acid nikawa vigeterian Kama mbuzi, na Leo matunda nmepata Leo hii natandika kila chakula nlishapona kitambo huu mwezi Wa 10 sasa ,nlichokuwa nakifanya nliacha ujuaji na nikawa nasikiliza kila dawa mtu akiniambia natumia hasa hizi za mitishamba na ukiniuliza nmepona kwa dawa gani sina jibu maana nmetafuna mitishamba ya kutosha na kuzingatia maelekezo ya wataalam,
Acha ujuaji utapona
Miti shamba ipi nisaidie kakaNi kawaida kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Huwa naona kama hizi omeprazole zinatuliza tu. Binafsi nina tatizo hili na nimeamia kwenye miti Shamba na hali ina improve vizuri tu.
OmeprazoleHebu tuambie dawa ulizoandikiwa.
Hapo kwenye pombe mleta mada na yeyote anayejihisi kuugua vidonda vya tumbo atakaepita kwenye huu uzi inapaswa apazingatie sana.Pole sana, acha kula vyakula vifuatavyo,
Maharage,chai ya rang, viazi vitamu, ndizi hasa za kuchemsha,pombe aina yeyote, soda, chipsi,pili pili,nk kidogoooo itakusaidia kupunguza tatizo la muamivu
Aliyekuambia doz ya vidonda vya tumbo ni siku 10 nani? Tumia izo dawa kama ulivyo elekezwa acha kutumia maharage ,soda,pilipili,dagaa vinachangia kuongeza tatizoPole sana
Heligo kit Ni niniReaction ya vdonda vya tumbo hutofautiana kati ya mtu na mtu,but to tell ni kwamba vinampotezea mtu Nuru,have you ever tried heligo kit?
Ni mchanganyiko wa dawa unaotumika katibu vdonda vya tumbo,mara nyingi madaktari hutoa Kwa wagonjwaHeligo kit Ni nini
Mkuu vp hali yako unaendeleaje nowJiadharini na hao wanaotangaza dawa za vidonda vya tumbo.
Pole Sana. Karibu upate tiba ya moja kwa moja na utatupa mrejesho humu.
Kweli una ubinadamu, Mungu akubariki kiongoziPole sana mkuu ni ulcers hizo. Nami zimenitesa miaka 6 nilikua nasikia hivyo shauri ya vidonda vya tumbo. Kama unaweza nipatie namba yako PM utapona kabisa 100% kuna mama anatibu kienyeji maeneo ya Goba. Kama upo Dar...
Nilitumia dawa za hospitali kwa miaka 3 mfululizo sikupona, ila nilitumia zile za natural sasa nimepona.
Mwanzoni majibu ya hospitali yalionesha ni vidonda, baadae majibu ya hospitali yakaanza kuonesha sina tatizo lolote huku hali ikiendelea kuwa mbaya ndio ikabidi nibadili teknolojia.
Pole Sana tumia dawa yangu hutojutia na utapona moja kwa moja.
Dawa gani mkuuDah mkuu mimi nlikuwa na kama yako but mwisho wa siku nilipona kwa dawa za asili.