Simba zee 33
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 1,374
- 1,564
jamani mwenye msaada wa kujua ipi ni dawa sahihi ya vidonda vya tumbo.
Jitahd kula na kuwa mtu wa kupotezea mawazo itakusaidia sana.jamani mwenye msaada wa kujua ipi ni dawa sahihi ya vidonda vya tumbo.
Mkuu Vidonda vya Tumbo Vinatibika kwa dawa za asili. lakini ukiwa na Wadudu aka Bacteria wa H-Pylori itakuwa ni vigumu kupona maradhi yako kwa dawa za hospitali sio rahisi kupona. . Lakini usipo pona nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia maradhi yako upate kupona.jamani mwenye msaada wa kujua ipi ni dawa sahihi ya vidonda vya tumbo.
Ulifanya kipimo gan kukaonesha kwamba una vidonda vya tumbo??jamani mwenye msaada wa kujua ipi ni dawa sahihi ya vidonda vya tumbo.
Si bora nife tuMkuu nina dawa ya kienyeji kama upo tauari kutoa laki 5 tufunge mkataba usipopona nakurudishia hela yako yote. Unatoa laki 3 tunaanza dozi ukishapona unamalizia laki 2.nitafute kwa namba 0782183441
Punguza ukali wa maneno Mtanzania mwenzetu 🙂
1. Pick up unripe papaya and wash it.Habari, ninasumbuliwa na vidonda vya tumbo mwenye kufahamu Tina au ushauri natanguliza shukrani
Mkuu Vidonda vya Tumbo Vinatibika lakini ukiwa na Wadudu aka Bacteria wa H-Pylori itakuwa ni vigumu kupona maradhi yako hospitali sio rahisi kupona Vidonda vyako vya tumbo ukiwa na hao wadudu wa H-Pylori. Lakini usipo pona nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia maradhi yako upate kupona.
Pole sana Hakuna Dawa ya Hospitali kukutibu hayo maradhi yako ya vidonda vya tumbo na wala kuwauwa hao wadudu wanaosababisha vidonda vya tumbo aka H-pyrol. Hata kama utatumia dawa kw amuda mwaka mzima sio rahisi kupona maradhi yako. Nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako uguwa pole .Msaada jamani nina vidonda vya tumbo visivyosikia dawa huu ni mwaka sasa yani nawaka moto tumboni na mgongoni nishatumia mpaka heligo kit.
Hospitali nimeambiwa nina gerd hpyrol+ve hiatus hernia duodenal ulcers
Unapatikana wapi kaka yangu vidonda vya tumbo vina mtesaPole sana Hakuna Dawa ya Hospitali kukutibu hayo maradhi yako ya vidonda vya tumbo na wala kuwauwa hao wadudu wanaosababisha vidonda vya tumbo aka H-pyrol. Hata kama utatumia dawa kw amuda mwaka mzima sio rahisi kupona maradhi yako. Nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako uguw apole .
Umeshaiona fursa mkubwaPole sana Hakuna Dawa ya Hospitali kukutibu hayo maradhi yako ya vidonda vya tumbo na wala kuwauwa hao wadudu wanaosababisha vidonda vya tumbo aka H-pyrol. Hata kama utatumia dawa kw amuda mwaka mzima sio rahisi kupona maradhi yako. Nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako uguw apole .
Unapatikana wapi kakaPole sana Hakuna Dawa ya Hospitali kukutibu hayo maradhi yako ya vidonda vya tumbo na wala kuwauwa hao wadudu wanaosababisha vidonda vya tumbo aka H-pyrol. Hata kama utatumia dawa kw amuda mwaka mzima sio rahisi kupona maradhi yako. Nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako uguw apole .
Anza clinic Muhimbili wewe matatizo yako ni makubwa Hiatus Hernia tu yenyewe kama yenyewe ni risk ya kupata vidonda.Msaada jamani nina vidonda vya tumbo visivyosikia dawa huu ni mwaka sasa yani nawaka moto tumboni na mgongoni nishatumia mpaka heligo kit.
Hospitali nimeambiwa nina gerd hpyrol+ve hiatus hernia duodenal ulcers
Ndo nimeanzia huko wanasema hawawez kunifanyia op coz ni har ya maumbile tu na hata wakinifanyia itarudi napewa ppi toka mwaka jana mpka nachoka kumezaAnza clinic Muhimbili wewe matatizo yako ni makubwa Hiatus Hernia tu yenyewe kama yenyewe ni risk ya kupata vidonda.
Unaitaji uonane na daktari Mbobezi
N:B Mbobezi sio Bingwa
Mkuu unatumiajeTumia songwa
kwanini usiseme hapa hapa na wengine wakasaidikakama bado hali tete nina suluhisho la kudumu. hata kama utumbo umeshaanza kuharibika. njoo pm nikuelekeze.
kuna wakat comments huwa nyingi hadi unahis mwenye uhitaj hataisoma. kuna wakat hoja inahusu afya unaona kuna watu wana mzaha. hilo tu hufanya utumie pm kwa watu serious. ingawa hoja yako ina mashiko na mi hupenda hivyo. uzuri sina dawa ya kuuza bali kuelekezakwanini usiseme hapa hapa na wengine wakasaidika