Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Moja ya tafiti zilizofanikishwa na jopo letu la utafiti wa tiba mbadala ni i katika eneo la tiba ya vidonda vya tumbo. Kwa wale wote wenye tatizo hilo wasisite kuwasiliana nasi kupitia www.drjoshualawrence.blogspot.com atasaidiwa mara moja. kwani tunayo dawa ambayo dozi yake ni siku tatu tu
 
Pole ndugu yangu kwa tatizo hilo, kupitia dawa ya Bhuponi 3, hivi sasa nimetibu watanzania wengi kupona ni asilimia mia moja! Wasiliana name kwa ajili ya tiba. Nitakutibu bure kama mfano kwa wengine, utakachopaswa kugharamia ni gharama za kusafirisha dawa www.drjoshualawrence.blogspot.com
 

Vidonda vya tumbo ni ngumu sana kupona katika siku 3, ladba wiki 2 au 3 au 4 lakini siku 3 bado sijakubali.
 

Cha ajabu kwenye blog yako kuna namba ya muandishi sio ya doctor au muandishi ndio doctor?
 
Rafiki yangu, nimeandika kuwa dozi inatumika siku tatu tu, soma vizuri maelezo hayo. lakini, pia, hiyo natharia yako ya kuwa vidonda vya tumbo haviwezi kutibika kwa siku tatu ina makengeza ya kiutafiti! Nakukaribisha ili uweze kuifanyia utafiti dawa hiyo, maana kuna madaktari wengi waliokuwa na wasiwasi lakini baada ya kuifanyia utafiti kwa wagonjwa wakaziba vinywa vyao!
 
Nyie madokta mnaobishana hapo juu, tupeni ushuhuda wa urine thelapy je ni kweli inatibu vidonda vya tumbo pia?
 
Halafu tiba asilia wameibuka sana na kuwadanganya watu eti vidonda vinapona kumbe dawa zenywe ni geresha tu
 

Weka namba yako basi au eleza unapatikana je hapa
 
Nyie madokta mnaobishana hapo juu, tupeni ushuhuda wa urine thelapy je ni kweli inatibu vidonda vya tumbo pia?

Kwanini utumie mkojo wakati maji yapo?. Mkojo una asidi nyingi ndani yake halafu unakunywa tena kutibu vidonda vya tumbo? inawezekana kwa mantiki ya dawa ya moto ni moto lakini badp kuna option ya kutumia maji kama ilivyoelezwa hapo juu.
 
Heshima kwenu wakuu.
Nasumbuliwa na vidonda vya tumbo na nimejigundua week sasa.ila sina raha tumbo linauma sana ila nikinywa maziwa ya baridi linapoa na kuna dawa Omeprazole nikinywa pia linapoa.
sasa wakuu naomba kama kuna mtu anajua matibabu ya hii maneno anisadie.
maana kwa kusema tu ule ukweli mimi ninapenda sana beer na haya maisha ya kunywa dawa kila siku siyawezi.
Najua hili tatizo lazima lishajadiliwa hapa.
CC. Mzizi mkavu
 
Last edited by a moderator:
Mmh! Mi sio dokta but kwa kuanzia tu, usikae na njaa mda mrefu! Hakikisha unakula mara kwa mara!
 
Kama unaamini miti shamba ni-pm tatizo lako litaisha ndani ya wiki moja ila njoo na vyeti vyako
 
Pia epuka kula maharagwe na mboga za kuungwa kwa nyanya.
 

Nenda kwa Dr Rahabu. Yupo ubungo Plaza ila uende nä vipimo kutoka hospital ili aone vimekuathir kiasi gani nä ajue dozi ya kukuazia. She saved my life kwa kweli.
 
Last edited by a moderator:
Kama unaamini miti shamba ni-pm tatizo lako litaisha ndani ya wiki moja ila njoo na vyeti vyako

mi niko mwanza hapa nilipo saa hii tumbo linawaka moto na leo usiku nataka nisafiri sijui itakuweje yaani
 
Nimekuwa nasumbuliwa na vidonda vya tumbo msaada tafadhari nisaidieni kwako mzizimkavu nimefuata kanuni za dawa bado sija changanya kwa navyo asali+adapt soda nisaidie jamani naumwa nichanganye vip

 
Kuna kipindi kimerushwa star TV kuwa Nitrogen inatibu vidonda vya tumbo ,walitoa na contact zao Kama kuna mtu anajua hili nitumie 0767534854 thanks
 
Msaada wana jamii kuna kipindi kilirushwa na Star TV kuwa Nitrogen inatibu vidonda vya tumbo nimepoteza contact zao anaye jua anisaidie simu yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…