Dawa yako ilinisaidia sana, sasa sina tena tatizo hilo. nilienda kupima nikakuta negative(-).Dawa yako nimeikubali.
Na wasiwasi na hii ID. Inawza ikawa Replica ya Juu hapo..
Invisible mnawaacha watu kama hawa mwishowe wanaiharibu JF. nazzo john kapost na kaweka namba 0755651583. Ukiitumia mpesa inakuletea jina la Emmanuel John karibu sawa na mtoa ushuhuda katika post ya pili. Kuna mchezo hapa fuatilieni.
kuna watu huwa wanafikiria kuwa jf ni kama fb, mtu una post tu kitu hakuna watu makini wa kufuatilia! mchezo umeshaumaliza akafie mbele.Invisible mnawaacha watu kama hawa mwishowe wanaiharibu JF. nazzo john kapost na kaweka namba 0755651583. Ukiitumia mpesa inakuletea jina la Emmanuel John karibu sawa na mtoa ushuhuda katika post ya pili. Kuna mchezo hapa fuatilieni.
Invisible mnawaacha watu kama hawa mwishowe wanaiharibu JF. nazzo john kapost na kaweka namba 0755651583. Ukiitumia mpesa inakuletea jina la Emmanuel John karibu sawa na mtoa ushuhuda katika post ya pili. Kuna mchezo hapa fuatilieni.
Mna mkosea sana bwana emanuel somo wangu.
Michezo ya kitoto kama hii niliitambua toka niko primary!
Una act kama wale wachezesha kamari. kafie mbele huko.
Hahahaaaa utapeli wa kizamani huu...
Acha Mambo ya Ajabu Yaani Dawa Yako Imemsaidia Somo wako halafu namba uliyoweka ni Yake Tenaaa...
Michezo ya kitoto kama hii niliitambua toka niko primary!
Michezo ya kitoto kama hii niliitambua toka niko primary!
Hauko serious kabisa,una disappointing