Cc MziziMkavu
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukikosa hapa Jamvini dawa ya vidonda vya Tumbo nitafute mimi Bonyeza hapa.@Mawasilianokuna ndugu yangu amekuwa akisumbuliwa na vidonda vya tumbo..... kwa muda sasa.... so kwa yeyote ambaye yuko aware na dawa nzuriii ya dukani ambayo itamsaidia ningefurahii sana kama mkinipa jina la dawa husika.. natanguliza shukrani zangu.....
kwani yeye mpaka sasa katumia dawa gani?kuna ndugu yangu amekuwa akisumbuliwa na vidonda vya tumbo..... kwa muda sasa.... so kwa yeyote ambaye yuko aware na dawa nzuriii ya dukani ambayo itamsaidia ningefurahii sana kama mkinipa jina la dawa husika.. natanguliza shukrani zangu.....
kuna ndugu yangu amekuwa akisumbuliwa na vidonda vya tumbo..... kwa muda sasa.... so kwa yeyote ambaye yuko aware na dawa nzuriii ya dukani ambayo itamsaidia ningefurahii sana kama mkinipa jina la dawa husika.. natanguliza shukrani zangu.....
Natragen wez tu m nltmia lkn hata ckupata nafuu na kuna rafk ang alitumia kaambulia kuota maupele mwl mzma
Wakuu habari za weekend naomba kujuzwa kama kuna dawa ya kiasili ya vidonda vya tumbo nikapona kabisa asanteni
Mzizi mkavu njoo huku umtibu huyu bwana, mi nilipona kwa ile dawa yako.Wakuu habari za weekend naomba kujuzwa kama kuna dawa ya kiasili ya vidonda vya tumbo nikapona kabisa asanteni