Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vidonda vya tumbo vinatibika kwa urahisi hospitalini kwa kutumia triple therapy. Tatizo wagonjwa wengine hawana vidonda vya tumbo but wanaamini wanavyo kutokama na taarifa potofu
Vidonda vya tumbo vinatibika kwa urahisi hospitalini kwa kutumia triple therapy. Tatizo wagonjwa wengine hawana vidonda vya tumbo but wanaamini wanavyo kutokama na taarifa potofu
Vidonda vya tumbo vinatibika kwa urahisi hospitalini kwa kutumia triple therapy. Tatizo wagonjwa wengine hawana vidonda vya tumbo but wanaamini wanavyo kutokama na taarifa potofu
Juice ya carrot ni dawa ya vidonda vya tumbo. Anakunywa asubuhi na jioni. Kama una ndugu yako mtaarifu.
kamili mbona mimi hayo madawa hayajanisaidia kupona kabisa? Though nimekaa kama mwaka bila kuumwa lakini from the past one month to date hali yangu si poa kabisa.Vidonda vya tumbo vinatibika kwa urahisi hospitalini kwa kutumia triple therapy. Tatizo wagonjwa wengine hawana vidonda vya tumbo but wanaamini wanavyo kutokama na taarifa potofu
kama umesumbuliwa na vidonda vya tumbo ruka hewani kwa namba 0716609916 wana unga wa ambao ukitumia ni siku nne vidonda kwako itabaki historia:llama:
kaka naomba unijuze gharama zao please
Kwa muda gani napaswa kunywa hii juice? Dilution yake je inakuaje? Plz advise me nianze leo hii hali si nzuri. Thx
Mkuu yaani unavosema ulipona naona km naota ndoto kuwa vidonda vya tumbo uwa vinapona .sasa apa tanzania Upper GI endoscopy na culture zinaweza patikana wapi maana naumia sanaUlitakiwa kufanyiwa upper GI endoscopy ili kuchukua sample tissue na kwenda kufanya culture kujua aina gani ya antibiotic itawaua hao bacteria mkuu.
jaman samahanin , kwa kuchanganya maada ... Mm pind nikiwa kwenye game na mwenzang naweza tumia ad dk ata 50 au lisaa lizima sijakojoa na ad nkija kukojoa bas mwenzang huwa atak tena kuendelea anakuwa kachoka sanaa asa mm naboreka na hii hal kilasku naishia kigol kimoja nifanyeje ikate... Nlikua napenda kulamba asal kilasku na kukimbia sana uwanjan kilasku lakn nimeacha vyote lakn hal bado yaendelea... Mwenzang anazanig namkomoa na cku nyngne anachukiga ad tunaishiaga kati bila mm kukojoa na huwa analalamikaga anaumiaga sana chn ya tumbo ... #MSAADA PLEASE#
Jamani too much drinking of soda inachangia kuumiza VIDONDA VYA TUMBO?