Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri


pole ndugu, mimi nina two years now nasumbuliwa sijapa dawa, kila dawa nifake tu
 
Wengine wanasema blend parachichi na asali, wengine wanasema tafuna karanga mbichi 2×3 kwa siku. Nadhani the best option ni maombi.
 
Pole sana mkuu,dawa ya vidonda vya tumbo tena kwa wewe ambaye ndio vinaanza ni maziwa fresh + Asali.chukua maziwa yaliyochemka yakapoa kidogo(ya uvuguvugu) nusu lita weka kijiko kimoja (table spoon) kwa wiki moja tu. UTAPONA. nilifanya hivyo vikaisha KABISA kwani vilinianza na pia nimezoea kutumia asali inasaidia sana mkuu.

USHAURI: usipende sana vidonge vya hospitalini.ubarikiwe.
 
pole ndugu, mimi nina two years now nasumbuliwa sijapa dawa, kila dawa nifake tu

Hata mimi nilizani nina vidonda vya tumbo bila kupima. Nenda hospital eleza kwa dkt uavyojisikia. utapima damu kuona kama una hpylori, utafanya OGD watagundua kama una vidonda vya tumbo utapewa dawa. kama hujafanya vipimo usiseme una ulcers. mimi nilifanyiwa nikapata dawa hospital nimepona
 
Kama una uhakika kuwa ni vidonda vya tumbo, jaribu heligo kit mkuu.Mimi zimenisaidia,thereafter try to comply na miiko ya vidonda vya tumbo tu.All the best na pole sana mkuu.
 
Upo wapi ndugu?... Kama upo karibu na Makambako au Njombe ningekuelekeza dawa free of charge.
 
jitahidi kutafuna karot mbichi mala kwa mala angalau 1x2 kwamda wa cku7 itakusaidia sana
 
dawa za hosp hazitibu aisee.

jaribu na juice ya limao,uwe unakamlia hadi katika chai,limao ni alkali so inakwenda kuneturalise acid,pia hata hiyo juice ya kabechi inasaidia na juice ya pilipili zile ndefu,hebu tumia mwezi mzima tuone kama itagoma.
mimi natumia limao,nikitumia wiki tu najisikia freshi
 
Ninakupa Dawa ya Muda tumia hii kwa muda wa siku 7 usipopona nitafute kwa wakati wako dawa ninayo ya

kuweza kukuponyesha Vidonda vya tumbo. Tumia hii Dawa kwanza:


Fanya hivi:
Chukua viazi vya mviringo (vya chipsi) kama vitatu halafu uvikoshe na kuvimenya. Baada ya kuvimenya upate juisi yake kwa kuvisaga kwenye blenda. Kunywa vijiko vitatu vikubwa vya chakula kutwa mara mbili kila siku asubuhi na jioni kabla ya kula kitu kunywa hiyo dawa kwa muda wa siku 7.


Juisi ya Viazi mbatata.

Usipopona kwa muda wa siku 7 Nitafute mimini nayo Dawa ya kuweza kukuponyesha Vidonda vya Tumbo ukihitaji dawa bonyeza hapa.Mawasiliano
 

Attachments

  • juisi ya viazi.jpg
    9.1 KB · Views: 797
jutaidi ule mlenda kwa sana mi imenisaidia toka nlivoanza kuula two years sasa sjaumwa
 

Sikiliza hii mp3 niliyo-attach ina maelezo mazuri kuhusu vidonda vya tumbo, kwa ushauri zaidi niachie ujumbe kwenye whatsapp +255769142586
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…