Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani wana JF kwa wale ambao mmeshasikia au mmeenda kwa babu Loliondo,je babu anatibu vidonda vya tumbo?? Nna tatizo hilo.. Pa1 wakuu
.watu wanaenda kimyakimya na kurudi kimya.mtafute rahabu anatibu
Mtafute Rahabu anatibu
Dawa ya Vidonda vya tumbo, Kinga (Urine) wako Mwenyewe kipimo cha glasi moja uwe anakunywa kila Asubuhi kabla ya kula kitu kwa muda wa wiki moja kisha nenda kapime hivyo Vidonda vyako vya Tumbo vitakuwa Vimekwisha kauka na Matatizo yak0 yatakuwa yamekwisha nasema kweli simtanii mtu hiyo dawa imewasaidia wengi.Tujulishe namna ya kutibu au kuzuia hivi vidondo vya tumbo, au huduma inapatikana katika clinic yako, tujuze iko wapi mkuu.
Asante ndugu, ila ingenoga zaidi kama ungeandika na visababishi na jinsi ya kuepuka ugonjwa huu kama inawezekana. Thanks
Ni nini hasa kipo kwenye mkojo kinachoponya vidonda vya tumbo?Dawa ya Vidonda vya tumbo, Kinga (Urine) wako Mwenyewe kipimo cha glasi moja uwe anakunywa kila Asubuhi kabla ya kula kitu kwa muda wa wiki moja kisha nenda kapime hivyo Vidonda vyako vya Tumbo vitakuwa Vimekwisha kauka na Matatizo yak0 yatakuwa yamekwisha nasema kweli simtanii mtu hiyo dawa imewasaidia wengi.
Jamani hivi ni kweli au unataka kutuchekesha tu?Dawa ya Vidonda vya tumbo, Kinga (Urine) wako Mwenyewe kipimo cha glasi moja uwe anakunywa kila Asubuhi kabla ya kula kitu kwa muda wa wiki moja kisha nenda kapime hivyo Vidonda vyako vya Tumbo vitakuwa Vimekwisha kauka na Matatizo yak0 yatakuwa yamekwisha nasema kweli simtanii mtu hiyo dawa imewasaidia wengi.
hahaha clinic yake iko loliondo huoni picha. (jokes)Tujulishe namna ya kutibu au kuzuia hivi vidondo vya tumbo, au huduma inapatikana katika clinic yako, tujuze iko wapi mkuu.
ni kweli Urine wako unasaidia kutibu maradhi mengi tu kama una ugonjwa wa vidonda vya tumbıo jaribu kunywa Urine wako utapona tuJamani hivi ni kweli au unataka kutuchekesha tu?