Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Hakuna dawa ya vidonda vya tumbo. Dawa ya vidonda vya tumbo ni wewe mwenyewe. Punguza kuwaza sana. Punguza stress, kama maisha yanakupa stress badili life style... Pia kunywa sana maziwa kwa mda kama wa wiki mbili mfululizo. Baada ya hapo hakikisha angalau mda ambao unakuwa na stress nyingi za kazi au maisha unajipatika kinywaji cha Azam energy au Mo energy. Hii hukusaidia kufocus kwenye shughuli muhimu na kupunguza mawazo yasiyo na tija...
Otherwise pole sana na ugonjwa huu unaoletwa na pilika pilika za maisha...
 
Nunua dawa ya Omeprazole, Gastrocide au nunua dawa ya Heligo Kit / ambayo kwa dose inauzwa 45,000/= hii dawa inauwa wale wadudu wa maambukizi ambao wapo ktk utumbo wanaitwa pyloric.
watu wengi wa vidonda vya tumbo wanalalamika kuwa hizi dawa haziponyeshi hii ni uongo. Hawaponi kwasababu hawafuati masharti. masharti yake baadhi ni:-
1. Usiwe na mawazo
2. Usiwe na hasira
#. Usinywe pombe, soda yenye gas, nyama choma, chipsi,maharage yani mbig zote za mikunde, chakula chenye viungo vingi, asprin, kupitisha muda wa kula. mimi niliumwa vidonga kwz miaka 7 lkn tangu 2005 hadi hii leo kila kitu nakula




Kama dawa hizo hazikukusaidia nenda hospitali kapige X- ray ya Barium meal, kama xray ya barium meal haikuwaona wale wadudu basi piga ile X - ray ya kumeza mpira yani OGD Xray au inajulikana kwa jina la Endoscope (approxi 360,000/=) kwa kipimo ile ndio top xray ya ulcers, ndio itaona kuwa labda vidonda vipo ktk utumbo mpana/ Doudemum au laa baada ya hapo ndio utapewa dawa ya Heligo kit. Usipige xray ya Ultrasound hii xray haioni aina ya vidonda vya tumbo ila inaona gas tu
...duh,mbona masharti makali kuliko mgonjwa wa ukimwi?...na matibabu aghali sana,
...sana yani!
 
Sasa
Hakuna dawa ya vidonda vya tumbo. Dawa ya vidonda vya tumbo ni wewe mwenyewe. Punguza kuwaza sana. Punguza stress, kama maisha yanakupa stress badili life style... Pia kunywa sana maziwa kwa mda kama wa wiki mbili mfululizo. Baada ya hapo hakikisha angalau mda ambao unakuwa na stress nyingi za kazi au maisha unajipatika kinywaji cha Azam energy au Mo energy. Hii hukusaidia kufocus kwenye shughuli muhimu na kupunguza mawazo yasiyo na tija...
Otherwise pole sana na ugonjwa huu unaoletwa na pilika pilika za maisha...
Ss hapo kwenye energy drink ndo unapotea
 
Nimekuwa mgonjwa takliban miaka 3 najisikia tumbo likiwaka moto maumivu kifuani kuchoka kwumwamgongo mwilikukonda nk nimee zahanati malimbali mahospitar mbambali nishaenda nikapata dawa lakini spati nafuu kwa anae jua dawa msaada maaana bado napenda kuishi




Nimetoka kumpeleka mama dispensary kwa ajili ya tatizo hilohilo.......nimetokwa elfu 95. Nimeomba diagnosis yake wamenigomea eti huwa hawatoagi.....nikanyong'onyea balaa.....
Kuna madawa mengi kapewa na sindano juu (5). Ngoja nirudi nikuorodheshee majina na ile sindano

Ni kweli magita, hata mimi nilikuwa na vidoda vya tumbo kwa mda mrefu ila nilipo pimwa nikapewa hizo dawa za heligo mpaka sasa niko powa
 
Pamoja na dawa yoyote utayopewa zingatia sana yafuatayo: fuata ratiba ya kula, kama unakula milo mitatu (nakushauri ule mitatu au zaidi yaani usikae tumbo likiwa tupu,( lakini pia kumbuka kudhibiti uzito wako)) basi kula kwa wakati uleule kila siku, sio leo cha mchana saa 8 kesho saa 10, hapana. Usile maharage au mboga za asili ya kunde, achana nazo kabisa. punguza matumizi ya nyama hasa nyekundu kama ng'ombe na mbuzi. Usinywe soda, au pombe yoyote, pia epuka vinywaji vywa viwandani kama dragon, redbull n.k, tumia zaidi juice za matunda na maji ya kunywa. Kwenye matunda epuka matunda yenye acid kwa wingi kama vile machungwa. Ukiugua kabla daktari hajakuandikia dawa mwambie unasumbuliwa na vidonda vya tumbo ili isikupe dawa zenye madhara kwa ugonjwa wako.
 
Kama alivyosema Magita nunua HELGO KIT anti Hector Pyalori na ufuate masharti ya chakula,utapona
 
...duh,mbona masharti makali kuliko mgonjwa wa ukimwi?...na matibabu aghali sana,
...sana yani!
...Afya ina thamani kuliko kitu chochote dawa kama inakutibu ukapona ni bora uwe fukara kwa kutoa kila ulichonacho ili upone
 
...Afya ina thamani kuliko kitu chochote dawa kama inakutibu ukapona ni bora uwe fukara kwa kutoa kila ulichonacho ili upone
....sio rahisi kihivyo lakini!..,kwa masharti hayo sisi maskini tutakuwa tunatuliza tu ugonjwa,vinginevyo maisha yatakosa thamani yake!
 
Ugonjwa unatesa sana huo tumia blue band kijiko kimoja changanya na asali kijiko kimoja lamba mara moja kwa siku au unga wa mdalasini changanya na asali lamba asbh na mchana kwa mwezi mmoja fuata masharti ya chakula zuia acid usile vyakula vyenye nyanya machauniz mbina zote darkgreen viazi mvirigo ndizi soda majani ya chai maziwa hasa fresh
 
Ugonjwa unatesa sana huo tumia blue band kijiko kimoja changanya na asali kijiko kimoja lamba mara moja kwa siku au unga wa mdalasini changanya na asali lamba asbh na mchana kwa mwezi mmoja fuata masharti ya chakula zuia acid usile vyakula vyenye nyanya machauniz mbina zote darkgreen viazi mvirigo ndizi soda majani ya chai maziwa hasa fresh
Mkuu mdalasini nlikckia unapona kabisaaa, ila hapo kwenye masharti ya chakula ndo sijakupata! Ndizi hizo mbivu au mbichi? Na viazi mviringo vina athari gani? Au hivyo ni valid kula ?
 
Ugonjwa unatesa sana huo tumia blue band kijiko kimoja changanya na asali kijiko kimoja lamba mara moja kwa siku au unga wa mdalasini changanya na asali lamba asbh na mchana kwa mwezi mmoja fuata masharti ya chakula zuia acid usile vyakula vyenye nyanya machauniz mbina zote darkgreen viazi mvirigo ndizi soda majani ya chai maziwa hasa fresh
Huo unga wa mdalasini unapatikana vip na gharama zake mkuu? Help.
 
Hapo kwenye nyama choma sasa dah! Any way, na ili anatakiwa anywe dozi ngap mkuu?
Wakati unakunywa hizo dawa loweka magadi kiasi flani utakuwa unakunywa asubhi kabla ya kula na jioni kabla ya kula
 
Nimekuwa mgonjwa takliban miaka 3 najisikia tumbo likiwaka moto maumivu kifuani kuchoka kwumwamgongo mwilikukonda nk nimee zahanati malimbali mahospitar mbambali nishaenda nikapata dawa lakini spati nafuu kwa anae jua dawa msaada maaana bado napenda kuishi
Mkuu.
1. Pima kwanza na tumia dawa za hospital kama vile H Pylori Kit kama utaonekana na bacteria hao.
2. Baada ya dawa hizo Tumia dawa za tiba mbadala za Dr. Buberwa nakuhakikishia utapona.

Note.
1. Hapa sitangazi biashara ya huyo Dr.
2. Mie ni shuhuda wa hizo dawa za huyo Dr. Nimeshuhudia watu wa tano (5) pamoja na mimi mwenyewe tukipona.
Gharama za dawa za huyo Dr. si zaidi ya Tsh 250,000.
3. Ni PM kama ukitaka kufahamu zaidi nikuelekeze.
 
Ndizi aina zote na viazi mviringo na vingine nilivyotaja vina acid nyngi itaongezeka tumboni itasababisha ongezeko la vidonda
 
Back
Top Bottom