Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Ulishapata suruhisho la tatizo lako mkuu?
 
[QUOTMimi lvee, post: 19894472, member: 411980"]Ulishapata suruhisho la tatizo lako mkuu?[/QUOTE]
Mkuu mimi nahitaji suluhisho la hpylori na kiungulia.Bado sijawa na vidonda
 
kutibiwaNi ="djzm70, post: 19894696, member: 221736"]Tangawizi na kitunguu swaumu[/QUOTE]
Kutibu nini
 
[QUOTnahtaj huo se moses, post: 19897579, member: 412575"]Mkuu uspojali tuma hats SMS,0623293380,msaada upo[/QUOTE]
Mkuu nisaidie
 
Chukua mkia wa kondoo uandae vyema kwa kuusafisha toa ngozi ile uweke kwenye kikaango ama sufuria weka jikoni uungue mpaka uishe wpte ugeuke mafuta yachujenmafuta yaweke kwenyw chupa safi tumia vijiko vitatu asbh na vitatu jion kwa kuchanganya mafuta hayo na asali vijiko viwili.

Utapona na itakua historia kwako na utanenepa vzr tu
 
Jitahidi sana kupunguza kula vyakula vyenye acid nyingi kama nyanya, matunda mengi yana acid sana. Papai is the best. Punguza kula nyama ya ng'ombe. Kula dona ilochanganywa na ngano. Usiweke ndimu wala tangawizi kwenye msosi. No fizzy drinks. Maziwa inategemea wengine hayawafai. Vyakula vya kukaaanga Sio vizuri. Epuka kula maharage na jamii hiyo.
Tafuta mafuta ya ubuyu unywe kila jioni.
Ukiweza kufanya hivyo na kuongezea mengine waliosema wengine kasoro huyo alosema unywe energy drinks!!
 
Hapo ni chronic ulcers. Unatapika damu. Sasa kama Huyu kapona wewe je?!!
 
Hakuna vidonda vya tumbo vinavyokuwa kwenye utumbo mpana broo
 
Vipi mrejesho
 
Naam mkuu, hospitali nyingi wanapima vidonda vya tumbo ila H-Pylory hawapimi, nadhani vipimo vyake ni gharama na dawa vile vile ni gharama.

Watu wengi km ulivyosema Helgo Kit hsiponyi kutokana na kukiuka madharti, ikumbukwe dose ya H-Pylori sio chini ya mwezi mmoja au week 3 hivyo watu hushindwa masharti.

Ukizingatia utapona, nenda hospitali kubwa za rufaa kama umesumbuliwa kwa muda mrefu na vidonda vya tumbo, mweleze daktari ikiwa umewahi kupima H-pylori na kama bado mwombe akupime(tumia lugha nzuri hata km una hela kwani madaktari hawapendi kushauriwa na wagonjwa). Ukimkuta daktari mzuri hata km wadudu hawataonekana anaweza kukuelekeza vitu vya kuepuka na vya kufanya ili vipimo vionyeshe, visipoonekana(vinatabia hiyo ya kujificha) anaweza kukupa dose kisha utaona majibu yake
 
Si kila vidonda vinatokana na wadudu vidonda vingine ni chemicals tu zinasababisha. Hakuna dawa ya hospitali inatibu vidonda tusidanganyane. Eti unapewa dawa unaambiwa usiwe na hasira, mawazo usile vyakula fulani basi hiyo siyo dawa make hata hivyo vyakula ulivyovitaja hujamaliza vipo vingi sana hutakiwi kula lakini ukipata dawa safi ya kienyeji kama iliyoniponyesha basi utakula kila kitu hadi pilipili. Mimi nilikuwa muhanga mkubwa wa vidonda lakini nimepona
 
Azam energy Mo energy. Ni sumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…