Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Mkuu bei imepungua au bado hii?
 
Mimi nazeeka vibaya-kweli nimemsoma vizuri ????-its time for an eye test
 
Halafu wadau naomba kuuliza vidonda vya tumbo hipelekea mwanaume kupoteza hamu ya tendo la ndoa?
 
Tafuta mafuta ya kondoo then changanya vijiko viwili vya mafuta ya kondoo na maji ya vuguvugu kama nusu glass then kunywa asubuhi na jioni.
Mm ilinisaidia kwa kweli.
 
VIDONDA VYA TUMBO
[emoji263]TUMIA NJIA MOJA KATI YA HIZI[emoji263]
1⃣[emoji298]Chukua MSAGISAGI 100gm kwa maji vikombe vitatu na nusu chemsha ichemke vizuri kisha kunywa kikombe kimoja kwa siku moja,
2⃣[emoji298]Chukua dawa hiyo na uisage sage kupata juisi yake vikombe vitatu kisha changanya na viini viwili vya mayai ya kienyeji na unywe kikombe kimoja kwa siku, utafanya hivyo siku tatu.
HIVYO UTAKUWA UMEMALIZA DOZI YAKO KWA SIKU TATU TUU.

[emoji256] Pia dawa hii ukichukua unga unga wake na ukanyunyiza kwenye kidonda sugu kisicho pona, hakika kidonda hicho kitapona.
In shaa Allah

Kwa ushauri na tiba wasiliana nasi

Wenu Sulayman
0655821550
 
Heligo Kit ni matibabu sahihi......mimi nimewahi kuugua vidonda vya tumbo kwa miaka mitatu na nilikuwa nikienda hospital naambiwa ni amoeba ama minyoo kwahiyo mara nyingi nilikuwa natibu ugonjwa ambao sio...lakini tangu nimetumia Heligo Kit sijawahi sumbuliwa na vidonda vya tumbo na nilirecover baada ya week moja tangu kutumia hizo dawa...kutapika kuliisha, constipation iliisha, viungulia, mate kujaa mdomoni, uchovu na maumivu ya tumbo yote yaliisha na hata uzito nikaongezeka....tafuta dawa ya Heligo Kit itakusaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…