Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Aisee tatizo hili limekuwa na laendelea kukua cha.msingi ni kufuata mashaliti hbaaaaaac!!!
Wakuu habari za leo, nina ndugu yangu anasumbuliwa sana na vidonda vya tumbo tangu mwaka 1993 alipopima na kugundulika kuwa ana matatizo hayo.

Ombi langu kwenu kama kuna mtu nafafahamu dawa ya vidonda vya tumbo hata kama ya kienyeje naomba msaada wenu wa wapi inapatikana na kiasi gani. Alishatumia dawa za aina mbalimbali mpaka ile dozi kubwa ya HELIGO KIT, lakini bado.

Naomba msaada wenu!
 
Wakuu kuna ndugu yangu anasumbuliwa na tatizo la kutokwa na manii pindi anapokwenda ajaa kubwa tatizo laweza kuwa nini ushaur kwa kina!!!!
 
JaRIBU HII:


[TABLE="class: sites-layout-hbox, width: 1194"]
[TR]
[TD]
Chlorophyll is the pigment that gives plants its green color. It is crucial for plant survival because it is the agent for photosynthesis. The molecular composition of chlorophyll is identical to the human blood cell, so it is often referred to as "green blood." In human blood, the nucleus of its molecule is iron, while in chlorophyll the nucleus is magnesium.
Liquid chlorophyll has many health benefits. Scientist Offen Krantz found that chlorophyll is helpful for stomach ulcers. Nutritionist Bernard Jensen reported that people who took chlorophyll had a higher blood count and generally better health. Liquid chlorophyll is said to detoxify the body, strengthen the immune system, help purify blood, cleanse the digestive tract and encourage cell production and regeneration. It is often used to relieve mild constipation, alleviate pain from stomach ulcers and keep the immune system strong.
Nutritionists in the world also approved and introduced the nutritional value of chlorophyll. The experts not only filter the chlorophyll in the leaves (such as alfalfa leaves), but also keep the active enzyme and minerals to increase health. Many scientists won Nobel by chlorophyll research. Like, Dr. Alexis Carrel in 1912, Dr. Richard Willstater in 1915 he found the chemical structure of chlorophyll in the form series of carbon, hydrogen, nitrogen, and oxygen. Dr. Hans Fischer in 1930, found the chemical structure of hemoglobin is nearly equal with chemical structure of chlorophyll.

[h=2]Chlorophyll Structure[/h]
2138665_f260.jpg

2138699_f260.jpg




[h=2][/h][h=2][/h][h=2][/h][h=2][/h][h=2][/h][h=2][/h][h=2][/h][h=2][/h][h=2][/h][h=2][/h][h=2]There are a lot of benefits by consuming liquid chlorophyll.[/h]
  • Removes toxins from the body.
  • Balancing hormone and acid base content in the body.
  • Provide nutrients in the formation of blood to increase oxygen levels and increase the number of red blood cells. .
  • Inhibit bacterial growth.
  • Improving oral health.
  • Good for blood circulation.
  • Eliminate the body odor.
  • As an anti-cancer because it can inhibit cancer cell growth and prevent cancer.
  • Reducing problems that often occur in women.
  • Improving lung function.
  • Good for healing process..
  • A good supplement for diabetes
Cleansing: Cleanses the digestive system, assists in purifying blood, eliminates bacteria, disinfects and detoxifies.

Balancing: Balances body acid-alkali level, boosts the functions of the body system.

Nourishing: Assists in red blood cell regeneration, enhances oxidation process and stimulates cell regeneration.
MAIN INGREDIENTS OF SPLINA LIQUID CHLOROPHYLL:

Symbiosis_2.jpg




Alfalfa is a plant with roots going down up to twenty to thirty feet into the ground. By doing this it brings up the minerals that are not available on the surface. For this reason, the Arabic word Alfalfa means "father of plants".

Alfalfa plant is rich in vitamins, minerals and other amazing nutrients that play a vital role in the strength and growth of our bones and in the maintenance of a healthy cellular system in your body. It contains proteins, vitamins A, B1, B6, C, E and K. It also contains calcium, potassium, carotene, iron, and zinc. It can be consumed in the form of seeds, leaves or tablets prepared from its extracts.




Alfalfa sprouts and alfalfa leaf can assist to reduce blood cholesterol levels. There is convincing clinical evidence that alfalfa lowers cholesterol. This is particularly true for individuals with a specific kind of high cholesterol known as type II hyperlipoproteinemia. The fibers and chemicals in alfalfa stick to cholesterol, so that it doesn't stay in the blood and so it can't be deposited on blood vessel walls. The most important factor of Alfalfa is that it seems to lower bad cholesterol (LDL) while leaving good cholesterol (HDL) alone.Since alfalfa contains saponins to prevent excessive cholesterol absorption, the tea prepared using alfalfa sprouts is helpful to the people suffering from blood pressure problems. Alfalfa has the potential to reduce atherosclerosis or plaque on the inside of artery walls. This herb also relieves the arthritis symptoms.
Many of pregnancy's discomforts are relieved by the use of alfalfa tablets. These include morning sickness, heartburn, constipation and anemia. Alfalfa tablets raise the vitamin K level of pregnant women, reducing postpartum bleeding in both quantity and duration, and they increase the vitamin K stores in newborns, reducing bleeding problems for them as well.
Alfalfa herb supports success in lactation because they help increase and sustain milk supply. It frequently helps alleviate nausea, almost always relieves constipation, and also brings up red blood counts in a beneficial way. It also seems to help reduce swelling and improve erratic blood sugar levels. This herb has the power to strengthen the body's immune system. While the iron content of the herb helps to treat anemia, its calcium content prevents dental decay.
Fresh alfalfa leaves can be squeezed and the juice taken out of the same to be mixed with carrot juice and consumed for improving the hair growth significantly. Tea can be made out of alfalfa seeds also. The seeds are boiled in water for thirty minutes and then strained. Honey is added to this tea to get a herbal concoction, which is recommended for arthritis patients. Alfalfa seeds are also used as the folk remedy in treating asthma or other breathing problems.
Chemicals in alfalfa have mild diuretic properties, which may promote the loss of water from the body. Therefore, alfalfa may relieve swelling caused by excess water accumulation. The chlorophyll in alfalfa develops an effective barrier against bacterial invasion by its stimulation effect on the growth of connective tissue and granulation tissue.
The ancient Greeks used alfalfa to treat a variety of diseases including bladder and kidney conditions. Traditional Chinese medicine uses alfalfa to treat kidney stones.



Therefore, who Should Drink Liquid Chlorophyll?

- People with liver problems
- People with respiratory problems
- People with rheumatism
- Anemic people
- Those with pale complexions
- People with weight problems
- Very skinny people
- Very fat people
- Smokers and those who consume alcohol frequently
- Those who dislike eating vegetables
- Those who suffer from constipation
- Those who experience menstrual pain
- Those who often catch cold
- Those who often have sore throats
- People with body odor and bad breath
- Busy and stressful people
- Easily fatigued people
- Those who often eat out

Chlorophyll is rich in:

Zinc
Selenium
Vitamin E
Vitamin C
Vitamin A
Protein
Biotin
Folic Acid
Panthotenic Acid
Calcium
Chromium
Phosporus
Potassium
Magnesium
Iron

What are the Health Benefits of Liquid Chlorophyll?

Discharges Toxin through the Feces - Liquid Chlorophyll improves the digestive system and bowel movement to discharge the toxic feces from the body. Liquid Chlorophyll deodorizes the bowel and entire body; a natural antiseptic to the intestinal tract. It also aids in rebuilding damaged bowel tissue and helps to eliminate mucus.

Reduces Pesticide Residue and Toxin - Liquid Chlorophyll effectively reduces toxin caused by pesticides and chemicals in the body. It traps and forms complexes with mutagens. Liquid chlorophyll also facilitates the degradation of toxic metabolites.

Balances Body Acid-Alkali Level - Balances body acid-alkali levels to maintain good health. Liquid chlorophyll provides an excellent source of health-promoting nutrients. Because liquid chlorophyll's composition contains calcium, it is highly useful for people as well as animals with arthritis, bone diseases, and hip dysphasia. It is very high in RNA and DNA and has been found to protect against the effects of ultraviolet radiation.

Assists in Increasing Blood Counts - Liquid Chlorophyll assists red blood cells generation to ensure sufficient oxygen and nutrients for cell regeneration. Chlorophyll helps to rebuild the bloodstream. Chlorophyll increases the hemoglobin production, the function of the heart, affects the vascular system, the intestines, the uterus, and the lungs.

Reduces Wrinkles and Aging - Liquid chlorophyll is an antioxidant - it has the ability to scavenge free radicals. It also improves the body's natural free-radical fighting ability by increasing the levels of certain enzymes that help in this process. It acts as a superb antioxidant to help support the body in maintaining healthy tissue and fighting the effect of aging. The results are smoother skin, clearer complexion and youthful looks.

Promotes Cell Regeneration and Boosts the Immune System - As chlorophyll helps to thicken and strengthen the walls of the cells, it is also a nutritional aid for the immune system. As a nutritional supplement it accelerates tissue cell activity and normal re-growth of cells which helps the body heal faster.

Following is a list of disease conditions that have either improved or cleared up entirely by using liquid chlorophyll in conjunction with a living foods diet:

- Hepatitis and other liver diseases
- All forms of anemia
- Asthma and hayfever
- Pyorrhea
- Varicose veins
- Hemorrhoids
- Ulcers - internal and external
- High and Low blood sugar
- Offensive body odors
- Sore throat



Actually chlorophyll will assist in correcting any imbalance in the body due in part to its high bio-available iron content. This allows the body to utilize more oxygen, aiding in the removal of accumulated toxins. We also know that the internal use of chlorophyll strengthens the cells and inhibits bacterial growth.

LAW OF HEALTH






FOR MORE PRODUCT DETAILS AND ORDERS, PLS. CALL:

Edren P. Geneciran
Manager
Dubai AE80012608
Phil PH80046053
Contact Nos. +97150-1901577
Email Add: edgeneciran316@yahoo.com
Edmark Dubai, UAE





CUSTOMER PRICE AT DHS. 95 PER 500 ML BOTTLE




Subpages (1): Splina Spirulina

[h=3]Comments[/h]
MJ Sales - Jun 14, 2010 11:27 PM
I used to suffer from Urinary Tract Infection (UTI). I felt terrible pain on my lower back and there was blood in my urine. Because of this, i was always restless until one day, Ms. Venus Calda, an active edmark distributor and a very good friend of mine urged me to drink Splina liquid chlorophyll. I took it regularly and I could reallt say that it was of great help in healing me. Now the infection and pains are gone.

- Ester Kerr Barrios-Lalaan

My work in the pharmacy requires me to stand for long hours. Becase of this, i always felt severe pain from my stomach to my lower back. I also frequently experienced menstrual cramps. O tend to be forgetful, probably becaus of all the distraction I get from the bodily pains. When I got to know Edmark, I started drinking Splina Liquid Chlorophyll. I took 1 tablespoon of pure Chlorophyll every morning and at bedtime. For the rest of the day I would regularly drink Chlorophyll diluted in water. Since I made it a habit, I no longer felt tha pain and I can now withstand stress. In fact I can still do househod chores after day's work in the pharmacy. My menstrual period has also become normal. I am really grateful to Ms. Jean Villasor for introducing to me the Splina Liquid Chlorophyll

- Fretzil H. Calimpong-Lamela

I was suffering from skin problems since I was 17 years old. Pimples were all over my face. I lost my self-confidence. I was suffering from UTI as well. My father, Mr. Reginaldo Ibanez, happened to know my dilemma and he told me to drink Splina Liquid Chlorophyll, rather that to take synthetic medication. I began drinking it regularly and experienced magnificent results. My skin became smoother, and I no longer had difficulty urinating. Edmark's SLC is so superb!!! I thank my dad for encouraging me to use this product.

- John Marthy Ibane

MJ Sales - Jun 15, 2010 8:10 AM
I used to suffer from heart ailments and this always led to hypertension, and sometimes I end up being confined in the hospital. I am also diabetic and overweight. It has been quite bothering until I discovered Edmark's Healthy Living Products. I started taking them all, particularly, Splina Liquid Chlorophyll. It has such an amazing effect on my body that I felt better each day. Not only has my blood pressure normalized, but also, all my ailments had gone. Even my friends noticed that I am a lot healthier now. I have learned from Edmark that total wellness can be achieved through proper diet, exercise and taking the right food supplements. Thank God for allowing me to discover the amazing products of Edmark!

- Ellen Aguilar
58 yrs old
Rizal, Philippines

MJ Sales - Jun 15, 2010 8:47 AM
During one of my business trips to Mindanao, I experienced the most painful ailment in my life - acute urinary tract infection (UTI). I was rushed to Surigao Medical Center past midnight because of excruciating pain. The doctor advised me to take some medications which included pain relievers for my arthritis and also some for HPN maintenance. Despite these medications, I still I felt much pain and also suffered from an abnormal sized testis. When I arrived home, my godson, a medical representative, invited me to attend an MDR at Tacloban Edmark Center. I signed up and it was also then that I started taking Splina. In just three days, the pain subsided and my testis returned to its normal size. It was not only my UTI which was cured but also my high blood pressure and arthritis problems. Praise God for leading me to Edmark. Now, I feel so much better not only because of my health but also for the wealth and opportunities from Edmark.

- Oscar Morta
57 yrs old
Tacloban, Philippines

MJ Sales - Jun 15, 2010 8:54 AM
I used to have a heart problem. The arteries on my heart were clogged thus I frequently had chest pains and breathing problems. Aside from those, I also suffered from an acute kidney disease and my urine had blood in it. Despite my health condition, I went to Singapore to work. After four and a half years, my condition got worse and I was hospitalized at Tan Tock Sang Hospital. Singaporean doctors told me that I needed to have a heart operation. I was so scared that I decided to go back to Philippines. Back in my country, I took vaious synthetic medicines to cure my health problems. In 2003, a friend introduced me the Edmark business. As a blessing, it was also then that I discovered Splina. Since then, I drink two cups of pure Splina everyday. In just one week, my breathing got better and so did my urine problem. In 2006, my doctor told me that my condition was getting better. I did not need to have a heart operation and I no longer needed any synthetic drugs. Until today, I continue to drink Splina Liquid Chlorophyll as it became my everyday health partner. Thanks to Edmark, my life was saved!

- Brenda Mendoza
50 yrs old
Manila, Philippines

MJ Sales - Jun 16, 2010 5:07 AM
One and a half years ago, I was diagnosed with Urinary Tract Infection and kidney stones. I felt depressed since, despite my medical condition, I needed to work hard because of the responsibilities back home. In this situation, I never lost faith in Him and one day, my churchmate Mr. Louie and I talked about a friend who was suffering from constipation problems. He told me about Splina and I felt so excited as the product can also be the solution to my kidney problems. I signed up immediately and started taking Splina and Shake Off. For the first few weeks, I got rid of the pain caused by UTI and kidney stones. Over the months that I have been using Edmark products, I felt my life and my energy slowly regained. I can now walk long distances and carry heavy baggage again. I would like to express my gratitude to those who have been very helpful and kind to me: Mr. Louie, Mr. Sam Low and of course, God who shared with me all these wonderful opportunities.

ELIZABETH ABAJA, 43
Domestic Helper
Doha, Qatar

MJ Sales - Jun 16, 2010 5:08 AM
I have been working as a taxi driver in Doha, Qatar for three years. Due to the nature of my work, I need to be physically fit. However, since I usually take the night shift or irregular shifts, I am not very keen on the food that I eat. Due to these habits, I became prone to joint pains that made me feel weak. Once, my colleague brought me to a hospital in Hamad and the doctors saw that my Uric acid level was 531 umol/L far from the 200-416 normal level. I was forced to take injectable relievers for the spasm. My condition got worse until I could no longer walk properly and there were times that I could not go to work. A churchmate in Doha, then urged me to try Splina Liquid Chlorophyll and said that it can balance the acid in my body. After seven days of taking Splina, the pain on my joints was relieved and I became more energetic. I am now determined to continue taking Edmark products and I am committed to telling others of its good benefits. I am grateful to Ms. Elizabeth Abaja for the Edmark business, to Mr. Sam Low for bringing these products to Qatar and to all Edmarkers. God bless you all.

IRESENDO P. DAHUNAN, 35
Taxi Driver
Doha, Qatar

MJ Sales - Jun 16, 2010 5:08 AM
I am a diabetic person and my doctor instructed me to stop using all my medicines as my kidney started to deteriorate. During that time my upline Mr. Ysmael Florenciano introduced Splina Liquid Chlorophyll to me. So, I tried this food supplement and always drink it with water. Since then, my blood sugar regulated and my blood pressure became normal. I do not only use Splina but also the other P4 products. I am very thankful to Mr. Ysmael Florenciano for introducing these wonderful Edmark products to me. I also appreciate all the help that Edmark Dubai staff extended to me and my family. More power to all Edmarkers!

ELEAZAR MADRIGAL OYSON, 41
Employee
Dubai, UAE







[/TD]
[TD="class: sites-layout-sidebar-right"]


[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Dawa ya vidonda vya tumbo Mfahamishe huyo jamaa anayeumwa na Vidonda vya Tumbo atumie Dawa ya Hii ya Kienyeji Akiamka Asubuhi kabla ya kula kitu akojowe mkojo wake mwenyewe kwa kipimo cha Glasi moja awe anakunywa mkojo wake kila siku Asubuhi kabla ya kula kitu kwa muda wa Siku Saba kisha Aende kupima hivyo Vidonda vya Tumbo Vitapona na kukauka kabisa Mwambie ajaribu kutumia hiyo Dawa itamsaidia Sana.

Mkoji ni Amino acids na uchafu usiotakiwa mwilini inakuaje anywe uchafu tena? Dawa au ugonjwa mpya?
 
Mkoji ni Amino acids na uchafu usiotakiwa mwilini inakuaje anywe uchafu tena? Dawa au ugonjwa mpya?
Unajuwa lakini Faida ya mkojo wako mwenyewe Ule wa Asubuhi unapoamka? Hebu soma hapa chini kwa kiingereza mkuu Mzalendo JR

Is it safe to drink your own urine?




In: Mental Health, Sexual Behaviors, Survival Tips








Answer:
Supposedly, your urine contains no harmful germs. Having had gone through the filtering of the liver, I'm not surprised. There was a story about people who survived in the ocean in a small boat with no liquids, by doing just that. Answer

I think it would taste totally nasty. Pee is just like chyme, a mixture of acids, juices, and mashed up food (basically vomit). So I wouldn't go drinking pee unless I was stranded and about to die! 10-23-08 clarksville tn.

It might put strain on your kidneys because urine is all of the unwanted product taken out of your body. If you drank it it would have no valuable nutrients and it would need to be filtered back out of the blood. This would

add on extra work for the kidneys, because that is what they do. Answer
As a general answer: No. Unless a person has a urinary tract infection, urine, itself, is sterile, so it would be

safe to drink. Please keep in mind that some infections, like chlamydia, are so mild that the person may not even know that they have it.

The other way to answer your question is to point out that in order for your kidneys to produce 400 ml (14 oz) of urine they have to filter 100 times more blood. That comes out to 40 liters, or about 10 gallons! I would not recommend drinking urine very often because it puts a strain on your kidneys.
yeah its sterile wont taste good though





A lack of safe drinking water is a common result of disasters, natural or otherwise. But some people argue that even in such situations we have plenty to drink, as long as we don't turn up our noses at it. Squeamishness aside, is it safe to drink your urine? With several caveats and under certain conditions, yes, it is safe to drink your urine.

Evidence for the Health Claim


Drinking urine when no other liquid is available-particularly fresh, safe drinking water may be a matter of survival. Urine is largely comprised of water that has been filtered through the body as part of the body's

ongoing process of flushing out waste products. Although few people like the idea of drinking urine, fewer would prefer to suffer the ultimate consequences of dehydration. But what about the use of urine as a medicinal substance in well-hydrated individuals? Many ancient medical and cultural practices in places such as

Egypt, China, India, and the Aztec empire, consider drinking urine-one's own or someone else's-as a treatment or cure for a variety of ailments. Even today there are number of alternative medical practices based in the teachings of Ayurveda that allow for urine consumption. Ayurveda, the ancient holistic healing system of India,

is grounded in a spiritual view of life. Its practitioners have advocated urine therapy as a treatment for asthma, arthritis, allergies, acne, cancer, indigestion, migraines, wrinkles, and a host of other conditions. Although no medical evidence supports urine as an effective treatment for any of these (or other) illnesses, scientific studies

have shown that some components of urine have medicinal properties. Most notably, urea (which, next to water, is the primary component of urine) possesses antibacterial, antifungal, and antiviral characteristics. And,


it should be noted that research is underway to investigate the potential of other urinary substances to treat infertility and specific forms of cancer. While urine's purported healing properties have yet to be confirmed by rigorous research, drinking small amounts of your own urine is unlikely to produce serious harm if, for some reason, you are so inclined.

Evidence Against the Claim


Although sipping the occasional urine sample may not be immediately harmful, it should not be forgotten that urine can contain harmful substances in those who have taken drugs-legal or otherwise-or have been exposed to chemical residues in the environment. Also, if a person were to drink his own urine as a substitute for fresh drinking water,

the proportion of water content would rapidly decrease as the proportion of harmful waste products increased. Urine therapy advocates who tout urine's healing properties point to the fact that urine contains vitamins, hormones, proteins, and other constituents generally accepted as beneficial. However, detractors point out that the body's

process of elimination is more than merely efficient, ridding itself of what it can't store. Rather, the kidneys diligently retain what is useful and dispose of everything else deemed dispensable. Even urine therapy advocates warn of the

dangers of excessive urine consumption. During a worldwide conference of urine therapy practitioners, the Chinese Association of Urine Therapy warned that drinking urine has negative side effects, including diarrhea, fatigue, fever, and muscle soreness; and these symptoms increase with the amount of urine ingested.


Conclusion


Because urine is primarily water, drinking it in small amounts is probably harmless unless you've been exposed to medications or environmental toxins that your body is desperately trying to eliminate. When faced with life-

threatening dehydration, drinking urine may make some sense, since the temporary benefits are likely to outweigh the risks. However, this last ditch effort will be short-lived, since the kidneys stop making urine as the dehydration worsens.
Source-http://healthlibrary.epnet.com/GetContent.aspx?token=5344349d-8fbc-446e-8ae5-03a924025f8c&chunkiid=161688 - Google Search

Is it safe to drink your own urine
chanzo.

Mkojo wako Mwenyewe ukinywa kwa ajili upone maradhi ya Vidonda vya tumbo hauna madhara yoyote yale haswa ukinywa mkojo wako mwenyewe Asubuhi unapoamka toka usingizini. jamani waulizeeni Ma Daktari watakuambieni. Chanzo😛.h.D. MziziMkavu.
 
Mkuu MziziMkavu kama upo around au mshihiri naombeni ufafanuzi kwenye hint aliyotoa mkuu mshihiri
v. Ndizi.
Ndizi 2 za kupika na maziwa glasi 1 mara 4 kama chakula pekee kwa muda wa siku 14.

Je, ni ndizi za aina gani? (Tuna ndizi nyingi Tanzania)

Je, ni maziwa aina gani? (Fresh au mtindi)

Pa1 wakuu, nawakubali sana katika hili
 
Last edited by a moderator:
Mkuu MziziMkavu kama upo around au mshihiri naombeni ufafanuzi kwenye hint aliyotoa mkuu mshihiri

Je, ni ndizi za aina gani? (Tuna ndizi nyingi Tanzania)

Je, ni maziwa aina gani? (Fresh au mtindi)

Pa1 wakuu, nawakubali sana katika hili
Ndizi zitakuwa ni mbivu sio ndizi mbichi, na Maziwa ya Ng'ombe fresh sio maziwa ya dukani ya chupa hayafai. lakini hii dawa alizotoa mkuu mshihiri zinasaidia kupunguza makali

ya Maradhi ya Vidonda vya Tumbo hazitibu mkuu Las Mas Bobos inayotibu Maradhi ya vidonda vya tumbo ni

mkojo wako mwenyewe unapoamka Asubuhi kinga mkojo wako mwenyewe kunywa kwa muda wa siku 10

nenda kamuone Daktari akakupime utaona huna tena vidonda vya tumbo unakula chakula chochote kile pasipo

na miiko yoyote jaribu ukiweza fanya mkuu niamini Dawa hii imewasaidia watu wengi tu.
 
Last edited by a moderator:
Kuna mtu kaniambia ni changanye Karanga mbichi zilizosagwa na Asali kisha niwe nakunywa vijiko 2x3 kila siku.

Msaada mwingine.
Je hayo niliyoambiwa yana ukweli?.
 
Maradhi ya VIDONDA VYA TUMBO (ULCERS): Haya ni maradhi ambayo hufanya vidonda upande wa ndani ya
ukuta wa tumbo. Kuna Duodenal ulcer na Gastric ulcer.


DALILI: (1) Kupata maumivu makali chini ya kifua kwa
upande wa ndani. (2) Kuchoka bila sababu. (3) Kuumwa kwa mgongo au kiuno. (4) Kupungua kwa nguvu za
kiume.

(5) Kuwa na kichefuchefu baadhi ya wakati. (6) Kuwa na kiungulia . (7) Tumbo kujaa gesi. (8) Tumbo kuwaka moto. (

9) Kukosa choo na wakati mwingine kupata choo kigumu kama cha mbuzi. (10) Kukosa hamu ya kula.

(11) Kutapika damu au wakati mwingine kutapika nyongo. (12) Maumivu makali baada ya kula vitu vikali au chakula cha moto.


TIBA: Kanuni ya kwanza: Chukua asali robo lita uchanganye na unga wa arki susi vijiko vinne vikubwa kisha

ukoroge kwa kijiko. Chukua vijiko viwili vikubwa vya mchanganyiko huu ukoroge ndani ya kikombe cha maji ya

moto. Yakishapoa unywe kikombe kimoja kutwa mara tatu.


Kanuni ya pili: Chukua viazi vya mviringo (vya chipsi) kama vitatu halafu uvikoshe na kuvimenya. Baada ya

kuvimenya upate juisi yake kwa kuvisaga kwenye blenda. Kunywa vijiko vitatu vikubwa vya chakula kutwa

mara mbili.

Kanuni ya tatu: Chukua lozi gramu 30 halafu usage iwe unga. Changanya lozi hii yote ndani ya

kikombe kidogo cha maziwa ya moto kisha uongeze asali vijiko viwili vikubwa. Kunywa kikombe kimoja robo saa kabla ya kula chakula cha asubuhi. Fanya hivyo kwa muda wa mwezi na utapata shifaa. Tumia kisha uje unipe FeedBack mkuu Kanoutinho
 
Last edited by a moderator:
Maradhi ya VIDONDA VYA TUMBO (ULCERS): Haya ni maradhi ambayo hufanya vidonda upande wa ndani ya
ukuta wa tumbo. Kuna Duodenal ulcer na Gastric ulcer.


DALILI: (1) Kupata maumivu makali chini ya kifua kwa
upande wa ndani. (2) Kuchoka bila sababu. (3) Kuumwa kwa mgongo au kiuno. (4) Kupungua kwa nguvu za
kiume.

(5) Kuwa na kichefuchefu baadhi ya wakati. (6) Kuwa na kiungulia . (7) Tumbo kujaa gesi. (8) Tumbo kuwaka moto. (

9) Kukosa choo na wakati mwingine kupata choo kigumu kama cha mbuzi. (10) Kukosa hamu ya kula.

(11) Kutapika damu au wakati mwingine kutapika nyongo. (12) Maumivu makali baada ya kula vitu vikali au chakula cha moto.


TIBA: Kanuni ya kwanza: Chukua asali robo lita uchanganye na unga wa arki susi vijiko vinne vikubwa kisha

ukoroge kwa kijiko. Chukua vijiko viwili vikubwa vya mchanganyiko huu ukoroge ndani ya kikombe cha maji ya

moto. Yakishapoa unywe kikombe kimoja kutwa mara tatu.


Kanuni ya pili: Chukua viazi vya mviringo (vya chipsi) kama vitatu halafu uvikoshe na kuvimenya. Baada ya

kuvimenya upate juisi yake kwa kuvisaga kwenye blenda. Kunywa vijiko vitatu vikubwa vya chakula kutwa

mara mbili.

Kanuni ya tatu: Chukua lozi gramu 30 halafu usage iwe unga. Changanya lozi hii yote ndani ya

kikombe kidogo cha maziwa ya moto kisha uongeze asali vijiko viwili vikubwa. Kunywa kikombe kimoja robo saa kabla ya kula chakula cha asubuhi. Fanya hivyo kwa muda wa mwezi na utapata shifaa. Tumia kisha uje unipe FeedBack mkuu Kanoutinho

Nashukuru kwa mchango wako mzuri bwana kanoutinho.
Pia kwa nyongeza anaweza kumuona bwana mbonde 0719-279675. Huyu bwana ametusaidia wengi na anaendelea kuwasaidia wengi kutoka sehemu mbalimbali za nchi hii.
Nilishawahi kutoa maelezo kuhusu huyu bwana humu JF na amekuwa anapokea simu na kusaidia watu.
Dozi yake ni TZS 60,000/= na unaitumia kwa muda wa siku nne hadi wiki. Ndani ya kipindi hicho mabadiliko utayaona.
NB: Hii ni kwa wagonjwa wanaoanza au waliougua kwa muda mrefu sana,
Mtumieni huyu bwana atawafaa sana.
watu wengi wanalalamika kuwa dawa za Dr. Rahabu haziwasaidii. Sina ushahidi na wala sikusudii kumharibia soko lake.
Binafsi niliugua madonda ya tumbo kwa muda wa miaka TISA na 2007 nilitumia dawa ya bwana mbonde na sasa chakula bila pilipili sisikii ladha.
 
Ha ha ha! Safi sana kwa umaliziaji wa hiyo comment yako kuwa chakula bila pilipili hakuna ladha. Atumie vyote hivyo kwa mujibu wa maelezo hapo juu. Asipoona mafanikio atumie product nzuri sana zisizokuwa na kemikali na zilizoandaliwa kiasilia kwa ajili ya kusaidia hayo matatizo. Bidhaa mojawapo ni kinywaji cha ALOE VERA GEL. Kinywaji hiki cha asili kinasaidia kuondoa sumu, kusafisha na kusaidia mmeng’enyo wa chakula, kuondoa vimbe, kuponya vidonda na kusaidia uponyaji wa maradhi kama arthritis, kisukari, vidonda vya tumbo,kukuongezea nguvu, kupunguza aleji mwilini na mengine mengi. Ina virutubisho kama vitamin 12 ikiwemo B12, madini 20, amino acid 18 na enzymes. Kwa maelezo au ukiihitaji tuwasiliane kwa email: healthwealthfirst@gmail.com pia napatikana kwa namba 0713889162
 

Attachments

epuka vyakula vyinywaji, matunda, yenye acid, na gas soda,chai rangi,nyanya nyingi,machungwa,,limao,badala yake tumia maziwa kiasi,matango, maji kwa wingi, mboga za majani kula chakula on time, usishinde na njaa,mimi niltumia maziwa nido vikaisha,dawa pia zinapatikana pharmacy.
 
Pole sana!utahangaika huku na kule na kupoteza pesa zako!kwa bahati mbaya nchi yetu haina sheria ya kudhibiti matapeli kwenye tasnia mbaliombai hasa afya.hakuna dawa hizo wanazoeleza ni remedies tu!yaani virutubisho vya kutuliza dalalili.Nenda kwa daktari ukapime H.pylori kama huna basi tumbo lako lim$echubuka tu na ute umekauka kabisha.kula katiaka mda unaotakiwa na achana na vitu vikali km ulivyoelezwa hapa juu.unaweza pona au pata haueni
 
Wanajf ninaomba msaada wa dawa ya vidonda vya tumbo na za kisukari au ushauri unaoweza kunifanya nikapata unafuu kama siyo kupona kabisa.baada ya kupimwa hosptal na kukutwa na maradhi hayo ambayo yote ni mazito.
 
kwa vidonda vya tumbo, nenda kwa doctor Rahabu, yuko Dar es salaam, buguruni shell, kwenye kigorofa ambacho frame za chini kuna pharmacy kubwa, ( nimeisahau jina)
 
Wanajf ninaomba msaada wa dawa ya vidonda vya tumbo na za kisukari au ushauri unaoweza kunifanya nikapata unafuu kama siyo kupona kabisa.baada ya kupimwa hosptal na kukutwa na maradhi hayo ambayo yote ni mazito.

Mkuu Pole,
Sijaelewa mkuu yaani ulipima ukakutwa na matatizo haya na kisha hawakufanya lolote hadi kuja kuomba ushauri na dawa JF?
 
Wanajf ninaomba msaada wa dawa ya vidonda vya tumbo na za kisukari au ushauri unaoweza kunifanya nikapata unafuu kama siyo kupona kabisa.baada ya kupimwa hosptal na kukutwa na maradhi hayo ambayo yote ni mazito.

POLE KAKA WALA USIUMIE MARADHI TUMEUNDIWA SISI BINADAMU SASA,
KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO NENDA KWA DR RAHABU KARIBU NA BUGURUNI PETROL STATION UKIFIKA APO JUST ULIZIA UTAELEKEZWA, ISHU YA KISUKARI PANDA MAGARI YANAYOENDA TABATA SHUKA KITUO CHA ALOMA ULIZIA HOSPITAL YA WACHINA NASKIA WAMEJITAIDI SANA DAWA YAO NZURI NI VIKOPO VITATu
 
Uyo RAHABU akigundua dawa ya ngoma naona atakuja uza 10mil
Ana gharama sana wakati mingi ni mitishamba
 
Back
Top Bottom