Ugumu anaoupitia Harmonize ni kielelezo tosha kwanini sanaa yetu haikui. WCB inaua wasanii nje ya lable yao

Ugumu anaoupitia Harmonize ni kielelezo tosha kwanini sanaa yetu haikui. WCB inaua wasanii nje ya lable yao

Mziki ni biashara na biashara ni ushindani;ni kazi ya mameneja wake kumtafutia soko na kutumia kila njia inayowezekana mapato yaingie,iwe ni kushawishi vituo vya radio,tv n.k kupiga nyimbo zake au kutafuta masoko ya nje.
 
Konde gang kuweni "Mafia" wale matumbotumbo piga risasi ipite juu ya vichwa vyao ikagonge ukuta watashika adabu yao..lazima wakuogope
 
Yaani mashabiki wa Harmonize wana akili sawa na mashabiki wa Kiba, and possibly, tunaodhani ni mashabiki wa Konde ni wale wale wa Kiba!! Hizo media unazosema hazi-post ngoma za Konde kisa WCB ni media zipi?! Unamaanisha hivi v-blog uchwara ambavyo havijafikisha hata Subscribers 100K, au?! Ikiwa Konde mwenyewe channel yake ina takribani ya Subscribers 1.5M na bado Views zinasua sua; hivi unaamini ki-blog uchwara chenye Subscribers chini ya 100K ndo zita-boost Views za Konde? Btw, hivi unaamini kabisa kwamba majority ya subscribers wa hivi v-blog hawaja-subscribe channel ya Konde?

Ngoja nikusaidie kitu kimoja, ambacho watu wa Digital Makerting wanakifahamu!! Hapa nitakuonesha Data Analysis ya Mond, Harmonize na Millard AyoView attachment 1369349


Hapo juu ni Data Analytics ya Konde's Instagram Account! Hapo unaambiwa kwamba 82% ya Instagram Followers wa Konde Boy pia wamem-Follow Diamond! Kwa maana nyingine, 82% ya Followers wa Konde wametokana na Followers wa Mond!!

Sasa tuangalie akaunti ya Diamond:-
View attachment 1369363

Utaona hapo Instagram Account ya Diamond haina common followers na Harmonize bali ana common followers na hao wanne tu!! The question is: WHY wakati tumesema 82% ya Followers wa Harmonize wapo pia kwa Diamond na hapa tunasema Diamond hashei followers na Harmonize!!!

Jibu ni kwamba, Diamond amejiunga Instagram July 30, 2012 wakati Konde kajiunga December 14, 2014. Sasa hiyo 82% ni kwa sababu Followers wale wale wa Diamond ambae alijiunga mapema zaidi, ndiyo wakam-follow Harmonize ambae by the time hakuwa na followers!

Mtu kama Millard ana-share 56% na Diamond kwa sababu akaunti ya Ayo nayo ni ya muda mrefu; August 06, 2012; na kwahiyo kuna Followers walianza kum-follow Ayo ndipo wakaenda kwa Mond!!!

MAANA ya hiyo analysis ni kwamba, Harmonize HANA followers wa kutosha wa kwake mwenyewe bali 82% ya Followers wake wametokana na Diamond! Majority ya hawa ni mashabiki wa Diamond na Wasafi! Baada ya Harmonize kuondoka Wasafi, asilimia kubwa ya Followers wake ambao wanatokana na Diamond/Wasafi, hivi sasa hawahangaiki kumaliza bundle zao kwenda ku-watch videos zake!!

So, hiyo ndiyo sababu na maelezo mengine yote, kama vile eti anabaniwa, mara sijui Youtube Media hazi-post, yote hayo ni POROJO tu!! Kwahiyo fanyeni kazi na achaneni na tabia za kutafuta public sympath, kama zile za Konde kutangaza kwamba kuzuiwa kwa shoo yake Mbeya kulikuwa na mkono wa mtu!!!!!
Naona mpaka mmemtaja mumewenu ndo kiuno kimetulia....mashabiki wengine wa WCB wana tabia za kike....maneno mengiii,kujionaaaa na kutaka kumpa mtu u Mungu mtu,wao ndo wana akili WAO ndo wanajua kiiila kitu upuuzi mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona mpaka mmemtaja mumewenu ndo kiuno kimetulia....mashabiki wengine wa WCB wana tabia za kike....maneno mengiii,kujionaaaa na kutaka kumpa mtu u Mungu mtu,wao ndo wana akili WAO ndo wanajua kiiila kitu upuuzi mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa wa wapi wewe!! Sijaongea chochote na wewe, zaidi ya wewe kila mara kushobokea posts zangu!! Cha ajabu zaidi unaibuka from nowhere unaanza matusi!! Umeachika na kwahiyo unatafuta basha kwa nguvu na kwahiyo ili ku-catch attention na umeonelea uwe unaingia matusi kama walivyo machoko wengi, au??Isitoshe hapa nimemuongelea Konde vs Diamond! Sasa how come unaumia kiasi hicho na kuanza matusi?! Au unakazwa na huyo na Konde B, na kwahiyo akizungumziwa tofauti unaumia, au?!!

Punguza speed za shobo kima wewe!!
 
Mnaosema Kondeboy anabaniwa woote Qumer tu, hamna akili kabisa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Harmonize anachotakiwa kufanya ni kufanya kolabo kali za nje ili apate tuzo nyingi nje mfano mtv, soundcity and afrima na show. Ajijenge kiuchumi kwanza and then ndo arudi kujenga label yake bongo. Focus yake kubwa kwa sasa iwe nje sio ndani ya bongo.
 
Harmonize anachotakiwa kufanya ni kufanya kolabo kali za nje ili apate tuzo nyingi nje mfano mtv, soundcity and afrima na show. Ajijenge kiuchumi kwanza and then ndo arudi kujenga label yake bongo. Focus yake kubwa kwa sasa iwe nje sio ndani ya bongo.
Tatizo huo uwezo Hana , amebak kunywa twist tuu na kukimbia kimbia uwanjan akiwa amevua shati , his last kick ni kampeni za CCM , kwisha habar yake pimbi yule
 
Nilijua tu kuna wapuuzi watajibu utumbo lakini jamaa ameandika fikra Zake kwahiyo haina haja ya kujibu hovyo kama hutaki si kaa kimya!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nadhani Kuna kitu we are missing here,

Kwa ulimwengu wa sasa Muziki ni biashara n'a kwenye biashara we always work to beat our competitors. Sasa ili kushinda ni lazima ufanye ka SWOT Analysis kadogo angalau ambako katakusaidia kuwashinda washindani wako.

Sasa sitaongelea u superiority wa Diamond ila ntaangalia udhaifu wa Harmonize ambao kama haujamshusha basi utamshusha muda sio mrefu.
1. Never compete na aliyeko juu yako, compete na aliyeko level yako ili ukishafikia level ya aliyeko juu yako ndio uanze kushindana naye. Mfano leo Mo Cola haiwezi kushindana n'a coca-cola (ingawa zote ni cola) mon cola atashindana n'a Azam cola maana ndio wako level moja ya competición. Budget ya promotion tu ya Coca-cola inaweza kuwa total investment ya Metl nzima. But kwenye growth ipo siku sasa atafikia level hiyo ya kucompete na Coca-cola na Pepsi.

2. Kwenye entertainment, kamwe never participate au kuwa kwenye Frontline ya kisiasa. Politics is a belief and it goes beyond what we hear or see. Nimefika rahisi sana kumfanya mtu akasikiliza n'a kupenda Muziki wa mtu fulani abbaye ni oponent wa anayempenda lakini ni vigumu mno kumbadilisha mtu Imani yake kwenye dini ama Siasa. Harmonize lost zaidi ya nusu ya mashabiki wake alipoimba wimbo wa magufuli n'a kujiunga kwenye ziara kwa kujua ama kutojua. Akitaka ushahidi wa hili anaweza kuangalia myumbo wa wasanii Wetu baada ya uchaguzi wa 2015.

3. Make the right decision, hili ndio changamoto kubwa ya wasanii Wetu wengi. Kuna muda fulani unatakiwa kufanya maamuzi fulani n'a wakati mwingine hapana. Kuna wakati wa kukubali kubadilika n'a Kuna wakati wa kubaki n'a maamuzi yako n'a kuyasimamia.

Management ya Harmonize îwe n'a mlengo wa kibiashara n'a iache kutafuta sympathy. Wajue level Yao n'a wa compete kwa level Yao huku wakiwa wanakua. Kama mnahisi mnabaniwa kwenye social media, muinvest huko mbona kwenye mainstream media mnabebwa sana ambako Hawa wenzenu wanabaniwa sana n'a hawalalamiki?

Mwisho, Muziki ni biashara so do it as a business

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani Kuna kitu we are missing here,

Kwa ulimwengu wa sasa Muziki ni biashara n'a kwenye biashara we always work to beat our competitors. Sasa ili kushinda ni lazima ufanye ka SWOT Analysis kadogo angalau ambako katakusaidia kuwashinda washindani wako.

Sasa sitaongelea u superiority wa Diamond ila ntaangalia udhaifu wa Harmonize ambao kama haujamshusha basi utamshusha muda sio mrefu.
1. Never compete na aliyeko juu yako, compete na aliyeko level yako ili ukishafikia level ya aliyeko juu yako ndio uanze kushindana naye. Mfano leo Mo Cola haiwezi kushindana n'a coca-cola (ingawa zote ni cola) mon cola atashindana n'a Azam cola maana ndio wako level moja ya competición. Budget ya promotion tu ya Coca-cola inaweza kuwa total investment ya Metl nzima. But kwenye growth ipo siku sasa atafikia level hiyo ya kucompete na Coca-cola na Pepsi.

2. Kwenye entertainment, kamwe never participate au kuwa kwenye Frontline ya kisiasa. Politics is a belief and it goes beyond what we hear or see. Nimefika rahisi sana kumfanya mtu akasikiliza n'a kupenda Muziki wa mtu fulani abbaye ni oponent wa anayempenda lakini ni vigumu mno kumbadilisha mtu Imani yake kwenye dini ama Siasa. Harmonize lost zaidi ya nusu ya mashabiki wake alipoimba wimbo wa magufuli n'a kujiunga kwenye ziara kwa kujua ama kutojua. Akitaka ushahidi wa hili anaweza kuangalia myumbo wa wasanii Wetu baada ya uchaguzi wa 2015.

3. Make the right decision, hili ndio changamoto kubwa ya wasanii Wetu wengi. Kuna muda fulani unatakiwa kufanya maamuzi fulani n'a wakati mwingine hapana. Kuna wakati wa kukubali kubadilika n'a Kuna wakati wa kubaki n'a maamuzi yako n'a kuyasimamia.

Management ya Harmonize îwe n'a mlengo wa kibiashara n'a iache kutafuta sympathy. Wajue level Yao n'a wa compete kwa level Yao huku wakiwa wanakua. Kama mnahisi mnabaniwa kwenye social media, muinvest huko mbona kwenye mainstream media mnabebwa sana ambako Hawa wenzenu wanabaniwa sana n'a hawalalamiki?

Mwisho, Muziki ni biashara so do it as a business

Sent using Jamii Forums mobile app
No 1 na 3 ndo nimeelewa ila no 2 haimake sense sijakubaliana na wewe.
 
Back
Top Bottom