Matatizo mengi ya ugumu wa kufanya biashara Tanzania yanasababishwa na tamaa za serikali za pesa za haraka. Kufungua LLC company Tanzania ni 600,000 ili uweze kufanya biashara kama kampuni sio binafsi. Baada ya mwaka tu hiyo licence ya 600,000 muda wake unaisha.
Kibaya zaidi hata kama hujatengeneza pesa unatakiwa kulipita tena na ukichelewa kuripoti unadaiwa 200,000 fini. Sasa ujue kwamba hapo umefungua biashara na hujaanza hata kupata faida. Vilevile ni lazima uwe na ofisi . Sasa cha ajabu ni kwamba kwa nini ni lazima niwe na ofisi wakati naweza kutumia nyumbani kwangu kama ofisini.
Pili kwanini license ni ya mwaka wenzetu wanaweka miaka mitatu maana biashara mpya mwaka mmoja hautoshi kwa licence. Tatu je serikali ina nia ya kukushanya kodi kutoka kwa biashara au hizi fees maana wenzetu wanaweka fee ndogo ili wengi wafungue biashara maana serikali inatakiwa ikusanye kwenye kodi. Hii inasababisha watu wengi kufungua biashara bila leseni.
Serikali vilevile haiangalii kwa upana faida za biashara. Watu wengi wanafungua biashara na kufunga baada ya mwaka kwasababu wanalipishwa sana kabla ya biashara kufanikiwa
Kibaya zaidi hata kama hujatengeneza pesa unatakiwa kulipita tena na ukichelewa kuripoti unadaiwa 200,000 fini. Sasa ujue kwamba hapo umefungua biashara na hujaanza hata kupata faida. Vilevile ni lazima uwe na ofisi . Sasa cha ajabu ni kwamba kwa nini ni lazima niwe na ofisi wakati naweza kutumia nyumbani kwangu kama ofisini.
Pili kwanini license ni ya mwaka wenzetu wanaweka miaka mitatu maana biashara mpya mwaka mmoja hautoshi kwa licence. Tatu je serikali ina nia ya kukushanya kodi kutoka kwa biashara au hizi fees maana wenzetu wanaweka fee ndogo ili wengi wafungue biashara maana serikali inatakiwa ikusanye kwenye kodi. Hii inasababisha watu wengi kufungua biashara bila leseni.
Serikali vilevile haiangalii kwa upana faida za biashara. Watu wengi wanafungua biashara na kufunga baada ya mwaka kwasababu wanalipishwa sana kabla ya biashara kufanikiwa