October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 5,012
Mbona hizi comment zinakatisha tamaa jamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara tz. ukifanya kama wanavyotaka hutoboi kamwe, miaka miwili nyuma nilijaribu ku formalise biashara in terms ya kampuni ndogo ya....baada ya kujitamburisha tra, almashauri na kwingineko, miezi sita ilitosha kabisa kurudisha nyuma biashara na miezi michache inayofuata ninge turn tu zero, nikafunga kwa dharura, nikaua kampuni formally nikafungua tena biashara kwa namna ambayo inafaa zaidi, sasa mambo ni poa kabisa.
Biashara inaitaji ujasiri sana kwenye nchi kama tz.