Ugumu wa maisha ndiyo utakuja kuiangusha CCM

Ugumu wa maisha ndiyo utakuja kuiangusha CCM

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Wananchi wanateseka sana kwa ugumu wa maisha na kila kukicha afadhali ya jana. Bei ya bidhaa, vifaa vya ujenzi, mafuta kila kukicha unakuta bei ya jana siyo ya leo.

Leo nimesoma kuwa bei ya mafuta kwa mwezi huu wa Aprili imepanda tena. Kama jirani zetu hapa Kenya, Zambia bei ya mafuta kwao ni nafuu mbona Tanzania kila mwezi bei inapanda kulikoni? Msione wananchi wako kimya wanaumia sana na matokeo yake ni siri yao.

Tusubiri uchaguzi wa mwaka huu na mwaka ujao.
 
Watanzania hata wakipiga kura wakachagua Viongozi mbadala lakini tume inatangaza kuwa washindi ni CCM.
 
Bado watanganyika wengi wamelala siku wakiamka usingizini ndio itakuwa mwisho wa CCM. UAMSHO NA UKOMBOZI UMEKARIBIA.
 
Mindset za watz ni kupambana na shida na si kuitatua na pia watanzania wengi hawajui hata serikali ina wajibu gani kwao huku basic concepts kama kodi hawazijui. Hivyo wao huchukulia maendeleo kama fadhila na si stahiki yao ndio maana kuna wabunge wapo majimboni kwao miaka mingi na hawawajibishwi kwa sababu watanzania hawana mindset hizo

Kwa hiyo siamini kama umaskini utawashtua watz ubongo ila kitapofika kizazi kama cha 2000 ambacho kipo na maono na demands kwa serikali, kidogo CCM inaweza kufa natural death ila sio umaskini
 
Sio kwa WADANGANYIKA sisi, labda kizazi chetu cha MAJUHA mengi na WAOGA wengi kipotee.
 
Mi nimeanza kulima niweke akiba ya chakula nyumbani kwangu
 
Mindset za watz ni kupambana na shida na si kuitatua na pia watanzania wengi hawajui hata serikali ina wajibu gani kwao huku basic concepts kama kodi hawazijui. Hivyo wao huchukulia maendeleo kama fadhila na stahiki yao ndio maana kuna wabunge wapo majimboni kwao miaka mingi na hawawajibishwi kwa sababu watanzania hawana mindset hizo

Kwa hiyo siamini kama umaskini utawashtua watz ubongo ila kitapofika kizazi kama cha 2000 ambacho kipo na maono na demands kwa serikali, kidogo CCM inaweza kufa natural death ila sio umaskini
Kuna ukweli mwingi sana katika haya maneno yako.
 
Wananchi wanateseka sana kwa ugumu wa maisha na kila kukicha afadhali ya jana. Bei ya bidhaa, vifaa vya ujenzi, mafuta kila kukicha unakuta bei ya jana siyo ya leo.

Leo nimesoma kuwa bei ya mafuta kwa mwezi huu wa Aprili imepanda tena. Kama jirani zetu hapa Kenya, Zambia bei ya mafuta kwao ni nafuu mbona Tanzania kila mwezi bei inapanda kulikoni? Msione wananchi wako kimya wanaumia sana na matokeo yake ni siri yao.

Tusubiri uchaguzi wa mwaka huu na mwaka ujao.
Sidhani mkuu
 

Attachments

  • images (1)-1.jpeg
    images (1)-1.jpeg
    25.9 KB · Views: 2
Wananchi wanateseka sana kwa ugumu wa maisha na kila kukicha afadhali ya jana. Bei ya bidhaa, vifaa vya ujenzi, mafuta kila kukicha unakuta bei ya jana siyo ya leo.

Leo nimesoma kuwa bei ya mafuta kwa mwezi huu wa Aprili imepanda tena. Kama jirani zetu hapa Kenya, Zambia bei ya mafuta kwao ni nafuu mbona Tanzania kila mwezi bei inapanda kulikoni? Msione wananchi wako kimya wanaumia sana na matokeo yake ni siri yao.

Tusubiri uchaguzi wa mwaka huu na mwaka ujao.
Kwa nchi hii illio jaaa wajinga kwa asilimia 90? au unazungumzia Kenya?
 
Jomo Kenyata alimtanua Nyerere kwamba kule Tanzania unatawala Maiti. na huo ndio ukweli
 
Wananchi wanateseka sana kwa ugumu wa maisha na kila kukicha afadhali ya jana. Bei ya bidhaa, vifaa vya ujenzi, mafuta kila kukicha unakuta bei ya jana siyo ya leo.

Leo nimesoma kuwa bei ya mafuta kwa mwezi huu wa Aprili imepanda tena. Kama jirani zetu hapa Kenya, Zambia bei ya mafuta kwao ni nafuu mbona Tanzania kila mwezi bei inapanda kulikoni? Msione wananchi wako kimya wanaumia sana na matokeo yake ni siri yao.

Tusubiri uchaguzi wa mwaka huu na mwaka ujao.
uchaguz hautakuwa suluhu , hapa kuna jambo litatokea soon , ccmu wamelala sana , na maadui wapo miongoni mwao
 
Wananchi wanateseka sana kwa ugumu wa maisha na kila kukicha afadhali ya jana. Bei ya bidhaa, vifaa vya ujenzi, mafuta kila kukicha unakuta bei ya jana siyo ya leo.

Leo nimesoma kuwa bei ya mafuta kwa mwezi huu wa Aprili imepanda tena. Kama jirani zetu hapa Kenya, Zambia bei ya mafuta kwao ni nafuu mbona Tanzania kila mwezi bei inapanda kulikoni? Msione wananchi wako kimya wanaumia sana na matokeo yake ni siri yao.

Tusubiri uchaguzi wa mwaka huu na mwaka ujao.
UTASUBIRI SANA
 
Wananchi wanateseka sana kwa ugumu wa maisha na kila kukicha afadhali ya jana. Bei ya bidhaa, vifaa vya ujenzi, mafuta kila kukicha unakuta bei ya jana siyo ya leo.

Leo nimesoma kuwa bei ya mafuta kwa mwezi huu wa Aprili imepanda tena. Kama jirani zetu hapa Kenya, Zambia bei ya mafuta kwao ni nafuu mbona Tanzania kila mwezi bei inapanda kulikoni? Msione wananchi wako kimya wanaumia sana na matokeo yake ni siri yao.

Tusubiri uchaguzi wa mwaka huu na mwaka ujao.
CCM wanafarijiana kwenye mitandao ila wanajua wananchi wanaenda kulipa kisasi Cha 2020 ndiyo maana mkakati wao mkubwa ni wizi wa kula
 
Mtanzania we mwambie maduala ya simba yanga
Mambo ya mziki na wasanii,umbea udaku basi

Mtanzania hata mafuta yakifika lita 10000 tsh poa tu

Ova
 
Mindset za watz ni kupambana na shida na si kuitatua na pia watanzania wengi hawajui hata serikali ina wajibu gani kwao huku basic concepts kama kodi hawazijui. Hivyo wao huchukulia maendeleo kama fadhila na stahiki yao ndio maana kuna wabunge wapo majimboni kwao miaka mingi na hawawajibishwi kwa sababu watanzania hawana mindset hizo

Kwa hiyo siamini kama umaskini utawashtua watz ubongo ila kitapofika kizazi kama cha 2000 ambacho kipo na maono na demands kwa serikali, kidogo CCM inaweza kufa natural death ila sio umaskini
Maneno KUNTU sana haya...upo vizuri kiongozi...Hakika,wengi hawafahamu uhusiano wa Maisha na Serikali iliyopo madarakani..Wanaamini UGUMU huu umeletwa na Mwenyezi Mungu
 
kama kuna mtu usijisumbue hata kumtetea ni Mtanzania,...
 
Mindset za watz ni kupambana na shida na si kuitatua na pia watanzania wengi hawajui hata serikali ina wajibu gani kwao huku basic concepts kama kodi hawazijui. Hivyo wao huchukulia maendeleo kama fadhila na stahiki yao ndio maana kuna wabunge wapo majimboni kwao miaka mingi na hawawajibishwi kwa sababu watanzania hawana mindset hizo

Kwa hiyo siamini kama umaskini utawashtua watz ubongo ila kitapofika kizazi kama cha 2000 ambacho kipo na maono na demands kwa serikali, kidogo CCM inaweza kufa natural death ila sio umaskini
Hata hicho cha 2000 wamerithi tabia za wazazi wao tena ndo hopeless kabisa hata elimu wanayopata ni ya ubora wa chini sana ni kama wanaenda kukua shule

Atakayeikoa hii nchi ni mbeba maono ambaye hatumjui ila yupo
 
Back
Top Bottom