Wananchi wanateseka sana kwa ugumu wa maisha na kila kukicha afadhali ya jana. Bei ya bidhaa, vifaa vya ujenzi, mafuta kila kukicha unakuta bei ya jana siyo ya leo.
Leo nimesoma kuwa bei ya mafuta kwa mwezi huu wa Aprili imepanda tena. Kama jirani zetu hapa Kenya, Zambia bei ya mafuta kwao ni nafuu mbona Tanzania kila mwezi bei inapanda kulikoni? Msione wananchi wako kimya wanaumia sana na matokeo yake ni siri yao.
Tusubiri uchaguzi wa mwaka huu na mwaka ujao.
Leo nimesoma kuwa bei ya mafuta kwa mwezi huu wa Aprili imepanda tena. Kama jirani zetu hapa Kenya, Zambia bei ya mafuta kwao ni nafuu mbona Tanzania kila mwezi bei inapanda kulikoni? Msione wananchi wako kimya wanaumia sana na matokeo yake ni siri yao.
Tusubiri uchaguzi wa mwaka huu na mwaka ujao.