Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
In real sense hakuna kitu kama CCM (kwa maana ya chama cha SIASA) Bali kuna kagenge flani kanakotumika kupora rasilimali za Watanzania kwa kutumia state apparatus
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maisha magumu yakuchape wewe binafsi na uvivu wako, halafu uje kutushia wachapa kazi zao kwa bidii....Wananchi wanateseka sana kwa ugumu wa maisha na kila kukicha afadhali ya jana. Bei ya bidhaa, vifaa vya ujenzi, mafuta kila kukicha unakuta bei ya jana siyo ya leo.
Leo nimesoma kuwa bei ya mafuta kwa mwezi huu wa Aprili imepanda tena. Kama jirani zetu hapa Kenya, Zambia bei ya mafuta kwao ni nafuu mbona Tanzania kila mwezi bei inapanda kulikoni? Msione wananchi wako kimya wanaumia sana na matokeo yake ni siri yao.
Tusubiri uchaguzi wa mwaka huu na mwaka ujao.
Shukrani mkuu🙏🏽Kuna ukweli mwingi sana katika haya maneno yako.
Maneno KUNTU sana haya...upo vizuri kiongozi...Hakika,wengi hawafahamu uhusiano wa Maisha na Serikali iliyopo madarakani..Wanaamini UGUMU huu umeletwa na Mwenyezi Mungu
unaota ndoto za mchana. uchaguzi ukikaribia mambo yatabadilika hadi mwenyewe utashangaa!Wananchi wanateseka sana kwa ugumu wa maisha na kila kukicha afadhali ya jana. Bei ya bidhaa, vifaa vya ujenzi, mafuta kila kukicha unakuta bei ya jana siyo ya leo.
Leo nimesoma kuwa bei ya mafuta kwa mwezi huu wa Aprili imepanda tena. Kama jirani zetu hapa Kenya, Zambia bei ya mafuta kwao ni nafuu mbona Tanzania kila mwezi bei inapanda kulikoni? Msione wananchi wako kimya wanaumia sana na matokeo yake ni siri yao.
Tusubiri uchaguzi wa mwaka huu na mwaka ujao.