Ugumu wa maisha ndiyo utakuja kuiangusha CCM

In real sense hakuna kitu kama CCM (kwa maana ya chama cha SIASA) Bali kuna kagenge flani kanakotumika kupora rasilimali za Watanzania kwa kutumia state apparatus
 
maisha magumu yakuchape wewe binafsi na uvivu wako, halafu uje kutushia wachapa kazi zao kwa bidii....
 
CCM haianguki bali baadhi ya wanachama ndiyo wataanguka.
 
Maneno KUNTU sana haya...upo vizuri kiongozi...Hakika,wengi hawafahamu uhusiano wa Maisha na Serikali iliyopo madarakani..Wanaamini UGUMU huu umeletwa na Mwenyezi Mungu

Shukrani mkuu na ni kweli, ukiona nchi kama Kenya zinaandamana kwa ajili ya bei ya unga ujue wananchi wanajua fika sehemu ya serikali katika kuupandisha na kuushusha bei kupitia kodi.
Kwetu wanalaumiwa wafanyabiashara na magumu yakizidi tunarudi madhabahuni kama ulivyosema.
Hiyo ndio tofauti 🙏🏽
 
unaota ndoto za mchana. uchaguzi ukikaribia mambo yatabadilika hadi mwenyewe utashangaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…