Ugumu wa maisha umefanya MR nice kuwa freemasonry yeye na mwanzilishi wake

Ugumu wa maisha umefanya MR nice kuwa freemasonry yeye na mwanzilishi wake

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
kuna clip inaonyesha mr nice akiapishwa freemasonry na mwenzake alafu cha kushangaza soski za mikono wamepeana mmoja kabaki na kulia mwengine kabaki na ya kushoto.

Mfuko wa wastaafu uboreshwe kusaidia huyu mwenye nyimbo za zamani kuku kapanda baiskeli.
GHFxC-DWcAE4NCC.jpg
 
Kweli tunashukuru USAids kwa dawa...yani watu wanapigwaa wanainuka...
 
🤣🤣🤣🤣🤣 wote waigizaji hapo hamna kitu ,,, personally namfahamu vzr sana huyo jamaa mwengine anayemuapisha MR Nice ,,, oky sitamzungumzia sana ila niseme tu Bongo pesa nyingi zipo kwa wajinga na majamaa wamelijua hilo ,,, sasa hapo ndiyo wanalifanyia kazi wazo lao.
 
Back
Top Bottom