Ugumu wa maisha umefanya MR nice kuwa freemasonry yeye na mwanzilishi wake

Kweli tunashukuru USAids kwa dawa...yani watu wanapigwaa wanainuka...
 
🤣🤣🤣🤣🤣 wote waigizaji hapo hamna kitu ,,, personally namfahamu vzr sana huyo jamaa mwengine anayemuapisha MR Nice ,,, oky sitamzungumzia sana ila niseme tu Bongo pesa nyingi zipo kwa wajinga na majamaa wamelijua hilo ,,, sasa hapo ndiyo wanalifanyia kazi wazo lao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…