Ugumu wa maisha

Ugumu wa maisha

Numbisa

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2016
Posts
301,221
Reaction score
1,172,274
Jamaa kwa kuchoshwa na tabia ya mkewe iliyobadilika ghafla akaamua kumpleka kwa Padre ili amuelezee nini tatizo mambo yakawa hivi:

Padre: Mumeo analalamika umebadilika sana siku hizi nini tatizo?
Mke: Baba Padre tatizo ni hali ngumu ya maisha.. sio mimi
Padre:Fafanua..!

Mke:Unakuta asubuhi naenda kazini sina hela na inanibidi nichukue tax, nikifika kazini dereva anauliza unanilipa au tufanyeje? Me nachagua tufanyeje
Padre:tufanyeje ni nini?
Mke:kulala nae

Padre:Ooh endelea..!
Mke:Inafika wakati wa kula Sele akiniletea chakula nae anauliza unanilipa au tufanyeje? Me nachagua tufanyeje
Padre:Mmh aiseee..

Mke:Hata nkienda kwa dokta nae anauliza unanilipa au tufanyeje? Me nachagua tufanyeje
Padre😀uh..!!

Mke:hata wakati wa kurudi home nkichukua tax ni yale yale nachagua tufanyeje. ndo maana nkifika nyumbani sina hamu kabisa..

Padre: Aisee pole sana mwanangu, sasa tumwambie mumeo au tufanyeje??
 
Jamaa kwa kuchoshwa na tabia ya mkewe iliyobadilika ghafla akaamua kumpleka kwa Padre ili amuelezee nini tatizo mambo yakawa hivi:

Padre: Mumeo analalamika umebadilika sana siku hizi nini tatizo?
Mke: Baba Padre tatizo ni hali ngumu ya maisha.. sio mimi
Padre:Fafanua..!

Mke:Unakuta asubuhi naenda kazini sina hela na inanibidi nichukue tax, nikifika kazini dereva anauliza unanilipa au tufanyeje? Me nachagua tufanyeje
Padre:tufanyeje ni nini?
Mke:kulala nae

Padre:Ooh endelea..!
Mke:Inafika wakati wa kula Sele akiniletea chakula nae anauliza unanilipa au tufanyeje? Me nachagua tufanyeje
Padre:Mmh aiseee..

Mke:Hata nkienda kwa dokta nae anauliza unanilipa au tufanyeje? Me nachagua tufanyeje
Padre😀uh..!!

Mke:hata wakati wa kurudi home nkichukua tax ni yale yale nachagua tufanyeje. ndo maana nkifika nyumbani sina hamu kabisa..

Padre: Aisee pole sana mwanangu, sasa tumwambie mumeo au tufanyeje??
Sasa tuendelee kucomment au tufanyaje?

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Niletee kitana nichane nywele[emoji23] [emoji23] [emoji23]
IMG_20180424_071317.jpg

Sasa tuendelee kucomment au tufanyaje?

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom