Ugumu wa maisha!

Kristonsia Nkya

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2013
Posts
302
Reaction score
292
*Kuna kipindi maisha yanakuwa magumu mpaka unajiuliza au ni zile meseji ulikuwa unaambiwa uwatumie watu kumi unapuuzia ni nini?

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni wewe tu na mipango yako.

Maisha yakiwa magumu na wewe inabidi uwe mgumu zaidi.

Njaa ikikuuma, na wewe iume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…