MTV MBONGO
JF-Expert Member
- Feb 18, 2016
- 1,281
- 1,251
Wadau. Watu wanaotafuta CPA wanafeli mno, pepa ngumu kinyama. Hali hii inasaidia nini?
Wengine wanadai Uhasibu na Ukaguzi ni mgumu, sina hakika.
Wengine wanadai lengo LA bodi ni kuepuka idadi ya wataalamu WA fani kuwa wengi. Sina hakika pia, Shida ni nini?
Wengine wanadai Uhasibu na Ukaguzi ni mgumu, sina hakika.
Wengine wanadai lengo LA bodi ni kuepuka idadi ya wataalamu WA fani kuwa wengi. Sina hakika pia, Shida ni nini?