Ugumu wa uskani na taa ya eps kuwaka

Ugumu wa uskani na taa ya eps kuwaka

Paul Mchumi

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2013
Posts
1,039
Reaction score
1,256
Wadau,kama somo tajwa hapo juu linavyojieleza,naombeni msaada kwa mwenye uelewa;,gari yangu PASSO kwenye dashboard inawasha taa ya EPS na uskani unakua mgumu,naweza nikaendesha hivyohivyo lakini kuna muda inazima uskani unakua mlaini,na sometimes inawaka tena uskani unakua mgumu tena,naomba mwenye uelewa juu ya hili anifahamishe lipi huenda ni tatizo ili nijue naanzia wapi hata nikienda kwa fundi,na mafundi wepi ni wazuri wa umeme wa magari kwa Dar hii...
IMG_20181022_170023.jpg
 
electric power steering system (EPS) light ina maanisha kuna tatizo katika steering system yako. Me naona unge retrieve code kwa diagnosis na pili uende gereji. Usipuuzie
 
Hilo swala linatibika mkuu mara nyingi na fault ambayo huwa inasumbua na kuwasumbua mafundi huwa inasoma fault moja MOTOR WELDING RELAY kuna mda itakubali kuna mda inakataa basi fault hii mara 100% usibadilishe control ya EPS utakuwa unabahatisha nazungumzia kama fault code ukipima inasoma hiyo hapo juu bali yakupasa ufungue sterling then pale kwenye sterling kuna winding set 1 so yakupasa kuzichoma au pasha na solder kuondoa dry joint na shida itakuwa imekwisha..
Hayo ni maelezo ya fault ya hapo juu ambayo huwa common kwenye passo .

Lakini cha msingi na muhimu ipime kwanza gari yako baada ya hapo italekebishwa kufuatana na fault iliyosomwa na mashine.. karibu JO AUTO TECH kwa matengenezo bora na yauhakika ya husuyo gari yako upande wa auto electrical &electronics.
 
Hilo swala linatibika mkuu mara nyingi na fault ambayo huwa inasumbua na kuwasumbua mafundi huwa inasoma fault moja MOTOR WELDING RELAY kuna mda itakubali kuna mda inakataa basi fault hii mara 100% usibadilishe control ya EPS utakuwa unabahatisha nazungumzia kama fault code ukipima inasoma hiyo hapo juu bali yakupasa ufungue sterling then pale kwenye sterling kuna winding set 1 so yakupasa kuzifachoma au pasha na solder kuondoa dry joint na shida itakuwa imekwisha..

Hayo ni maelezo ya fault ya hapo juu ambayo huwa common kwenye passo .

Lkn cha msingi na mhim ipime kwanza gari yako baada ya hapo italekebishwa kufuatana na fault iliyosomwa na mashine.. karibu JO AUTO TECH kwa matengenezo bora na yauhakika ya husuyo gari yako upande wa auto electrical &electronics.
Mnapatikana wapi ndugu!
 
Pole sana nenda kwa fundi mkuu, garage za maana sio za uswahilini wanaotengeza kwa kubahatisha.
 
Back
Top Bottom