FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Thanx kaka u will be rememberedMuda Ni Sasa Hivi Hata Hatujachelewa
Punde Boeing Watafanyia Kazi Hili Jambo Ni Muhimu Sana Hasa Kuepusha Vifo
Du tufanyeje ni kuchangia tu mawazo hatujui tuanzie wapi no place to attend our thoughtsMkuu umeuza ramani tayari yaani basi tu
Hapa tunalenga sana ndege za ndani ya nchi(Anga ya kitaifa na si kimataifa)mfano 11 September watu wangepona kwani ndege zilikuwa futi chache toka ardhini kama ghorofa ya sabini tu kumbuka world trade center ilikuwa na ghorofa 110 na ndege nyingi hupata itilafu zinapopaa au kutua.rejea kuwaka moto kulipoanzia mkiani huko uturuki ktk ndege moja.Wasiwasi wangu altitude ambayo ndege ya abiria inasafiri mara nyng inakuwa juu la tabaka la kawaida la hewa.. afu pili itabid dunian wote tufundishwe matumizi ya parachute kabla ya kupanda ndege mkuu...usidhan wanavuta tu kama kwny movie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watakusikia maana tuko nao humu ndani ya chunguNimeliwaza wazo hili kwa kina na kuona kuwa ikiwa ndege vita marubani hupona itokeapo ajali kwa kufyatuka na kiti basi ni possible ndege za abiria kuwa na mfumo huo ila wazingatie mwavuli uwe na uwezo wa kuelea katika maji.na pia wapitishe watumishi wa ndege codes maalumu kabla ya kufyatua ikiwa ndege IPO hatarini. Pia kila kiti kifungwe GPRS. Boeing lifanyieni kazi.
Wazo limtolewa, lifikishwe mahali husika, wataalam walifanyie kazi, mwenye wazo afaidike nalo. Wacha kuleta mawazo ya kujikatisha tamaa na mawazo ya kimasikiniNi gharama kubwa sana kile kiti kinafyatuliwa na mtambo hakijifystui chenyewe .Kila kiti kuwekewa mtambo wa kufyatua ni gharama na itachukua space kubwa mno kati ya kiti na kiti kingine na ndege itakuwa na uzito mkubwa mno sababu ya hiyo mitambo ya ufyatua viti
sikatishi tamaa ndege za jeshi mtambo wa kufyatua kiti uko nyuma Wazo lake sio jipyaWazo limtolewa, lifikishwe mahali husika, wataalam walifanyie kazi, mwenye wazo afaidike nalo. Wacha kuleta mawazo ya kujikatisha tamaa na mawazo ya kimasikini