Ugunduzi huu umefikia wapi?

Ugunduzi huu umefikia wapi?

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,957
Enzi nipo kidato cha 5 na 6 tulikuwa na mwalimu wa physics, mwalimu huyu alikuwa mweupe sana, maswali karibia yote alikuwa akisolve hafiki mwisho yanamshinda. Lakini alikuwa mtu wa vistory vingi sana, tulimpenda kwa hilo, one day akatuletea kistory kuwaa Gene inayoleta uzee imegunduliwa na sasa wataalamu wanaendelea kuifanyia kazi ili watu tusizeeke tena, sasa ni miaka mingi imepita, ugunduzi huu umefikia wapi kwa anayejua wandugu.
 
Back
Top Bottom