Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Kijana wa chuo cha DIT Amani Simba amemshangaza Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhandisi Gabriel Robert kwa uwezo wake wa kufuma mpira wa miguu wenye viwango vya kimataifa alipofanya ziara ya kikazi katika chuo hicho mwishoni mwa wiki hii.
Kwa Maelezo ya Mkurugenzi wa Chuo hicho tawi la Mwanza Dkt Albert Mmari, kijana huyo ameonyesha kipaji cha kipekee tangu ameanza masomo chuoni hapo.
Kwa Maelezo ya Mkurugenzi wa Chuo hicho tawi la Mwanza Dkt Albert Mmari, kijana huyo ameonyesha kipaji cha kipekee tangu ameanza masomo chuoni hapo.