secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Tumegundua pia bila hela huwezi kusugua mbunye vizuriTumegundua mbunye ni tamu kuliko hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumegundua pia bila hela huwezi kusugua mbunye vizuriTumegundua mbunye ni tamu kuliko hela
Usidharau kujifukiza, wamarekani nao wamekubali ni kweli inaua virus.Bongo wamegundua kuwa ukijifukiza unajitibu na kuua viruses
Acha kuwatetea bhana......Hebu tusiwabeze madaktari wetu na wataalamu wetu wa afya. Jaribu hata kuangalia nyie wenyewe jinsi mazingira ya ufanyaji kazi yalivyo kwao. Jaribuni kuwaelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
akili zako ni zako tu mzee bujibujiTumegundua mbunye ni tamu kuliko hela
Acha kuwatetea bhana......
Rwanda madaktari wadogo tu wamegundulia visaidizi vya kusaidia kupumua sembuse sisi
Juzi nasoma Bugando Hospital watakuwa wanatoa barakoa mlangoni ukitoka unaiyacha anavaa mwingine
Alafu unasema mazingira......Hilo nalo nilamazingira kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna daktari mwenye akili zake atataka hilo la kuacha barakoa ili avae mwengine atataka lifanyike... Kuna la zaidi, yaani haingii akilini hata kidogoAcha kuwatetea bhana......
Rwanda madaktari wadogo tu wamegundulia visaidizi vya kusaidia kupumua sembuse sisi
Juzi nasoma Bugando Hospital watakuwa wanatoa barakoa mlangoni ukitoka unaiyacha anavaa mwingine
Alafu unasema mazingira......Hilo nalo nilamazingira kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe siku ukiumwa corona wataenda kikupima.kinyesi... jaribu kuheshimu taaluma ya mtu..watu wanafanya kazi kazi katika mazingira magumu.
Kama hakuna vitendea kazi nani ahatarishe maisha yakeMadaktari wetu wamesomea mbio vyuoni ndio maana wanachapa mbio wakiona wagonjwa
Sent from my iPhone using JamiiForums
AiseeUkiona nchi yetu ijagundua dawa yeyote au kurusha ndege anga za mbali juu ya duniani kama nasa basi tujue wale wasomi wetu pale mlimani wote ni mazombi
Isee..tafadhali tambua umuhimu wa matabibu waliopo, Corona ni gonjwa tofauti na unavyofikiria..Madaktari wetu watafanya nini kama Siasa na Uchumi wetu pengine hauwezeshi kuboreshwa kwa sekta ya afya katika kiwango ukipendacho..