Uhaba wa dola unaweza kuangusha biashara: Deogratius Temba, Mfanyabiashara

Uhaba wa dola unaweza kuangusha biashara: Deogratius Temba, Mfanyabiashara

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
"Wakati ule tunaanza kuagiza bidhaa nje ikiwemo magari, kwa mwaka 2010 dola tulikuwa tunanunua kwa shilingi 1530 mara ya kwanza kabisa wakati naanza kuagiza bidhaa nje ya nchi, baadaye ikapanda ikaenda 1600 lakini leo tunazungumzia kwenye 2550," Deogratius Temba, Mfanyabiashara

"Benki wanauza dola kwa 2550 lakini dola hauipati, lakini ukitaka kununua dola 10,000 kwa pamoja benki hupati lazima utapewa dola 500, 500 ina maana utenge hiyo fedha ununue kidogo kidogo, kwenye soko la nje unapata na inaenda hadi kwenye 2700,"- Deogratius Temba, Mfanyabiashara

"Gari ambayo mwaka jana nilikuwa ninaiuza kwa milioni 15 sasa hivi sokoni inaenda kwa milioni 18 hadi 19, kwa mtu ambaye alikuwa na malengo ya miaka miwili mitatu kununua gari hilo jambo la dola tayari lina athari kubwa sana, bei inazidi kuongezeka,"- Deogratius Temba, Mfanyabiashara

"Kama dola haitopatikana kwa urahisi kama ilivyokuwa mwanzo tunachokiano ni anguko la biashara, hatutopata tena zile bidhaa tunazoziagiza kutoka nje kirahisi, hivyo wachumi na serikali waangalie namna gani watatusaidia sisi wafanyabishara tupate hiyo fedha ili tusikwame,"- Deogratius Temba, Mfanyabiashara

Source: ITV
 
"Wakati ule tunaanza kuagiza bidhaa nje ikiwemo magari, kwa mwaka 2010 dola tulikuwa tunanunua kwa shilingi 1530 mara ya kwanza kabisa wakati naanza kuagiza bidhaa nje ya nchi, baadaye ikapanda ikaenda 1600 lakini leo tunazungumzia kwenye 2550," Deogratius Temba, Mfanyabiashara

"Benki wanauza dola kwa 2550 lakini dola hauipati, lakini ukitaka kununua dola 10,000 kwa pamoja benki hupati lazima utapewa dola 500, 500 ina maana utenge hiyo fedha ununue kidogo kidogo, kwenye soko la nje unapata na inaenda hadi kwenye 2700,"- Deogratius Temba, Mfanyabiashara

"Gari ambayo mwaka jana nilikuwa ninaiuza kwa milioni 15 sasa hivi sokoni inaenda kwa milioni 18 hadi 19, kwa mtu ambaye alikuwa na malengo ya miaka miwili mitatu kununua gari hilo jambo la dola tayari lina athari kubwa sana, bei inazidi kuongezeka,"- Deogratius Temba, Mfanyabiashara

"Kama dola haitopatikana kwa urahisi kama ilivyokuwa mwanzo tunachokiano ni anguko la biashara, hatutopata tena zile bidhaa tunazoziagiza kutoka nje kirahisi, hivyo wachumi na serikali waangalie namna gani watatusaidia sisi wafanyabishara tupate hiyo fedha ili tusikwame,"- Deogratius Temba, Mfanyabiashara

Source: ITV
Lets trade kwa our domestic currencies. Biashara ya Tanzania na China, kwann itumike pesa ya mmarekani ambaye hatufanyi nae biashara kabisa
 
Lets trade kwa our domestic currencies. Biashara ya Tanzania na China, kwann itumike pesa ya mmarekani ambaye hatufanyi nae biashara kabisa
Mambo yatakua ni yaleyale tu. Una uhakika unafanya biashara na china ipasavyo kupelekea kubalance export na import??. Biashara haina janjajanja ili upate currency yeyote inatakiwa uwauzie bidhaa au huduma wenzako wakati na wao wanakuuzia.
 
Lets trade kwa our domestic currencies. Biashara ya Tanzania na China, kwann itumike pesa ya mmarekani ambaye hatufanyi nae biashara kabisa
Watakuja USA wakupige mabomu ya kutosha eti ucheze na hela yao waulize gadafi na hussein. Hili mtaliweza mkiwa wamoja kama WAafrika. But sio kwa nchi Moja iliyosimama yenyewe au jiungeni Bric
 
Lets trade kwa our domestic currencies. Biashara ya Tanzania na China, kwann itumike pesa ya mmarekani ambaye hatufanyi nae biashara kabisa
Ha ha haaa!.jpg

Ha ha haaaa! Kweli JF kwa sasa ina vituko!​
 
"Wakati ule tunaanza kuagiza bidhaa nje ikiwemo magari, kwa mwaka 2010 dola tulikuwa tunanunua kwa shilingi 1530 mara ya kwanza kabisa wakati naanza kuagiza bidhaa nje ya nchi, baadaye ikapanda ikaenda 1600 lakini leo tunazungumzia kwenye 2550," Deogratius Temba, Mfanyabiashara

"Benki wanauza dola kwa 2550 lakini dola hauipati, lakini ukitaka kununua dola 10,000 kwa pamoja benki hupati lazima utapewa dola 500, 500 ina maana utenge hiyo fedha ununue kidogo kidogo, kwenye soko la nje unapata na inaenda hadi kwenye 2700,"- Deogratius Temba, Mfanyabiashara

"Gari ambayo mwaka jana nilikuwa ninaiuza kwa milioni 15 sasa hivi sokoni inaenda kwa milioni 18 hadi 19, kwa mtu ambaye alikuwa na malengo ya miaka miwili mitatu kununua gari hilo jambo la dola tayari lina athari kubwa sana, bei inazidi kuongezeka,"- Deogratius Temba, Mfanyabiashara

"Kama dola haitopatikana kwa urahisi kama ilivyokuwa mwanzo tunachokiano ni anguko la biashara, hatutopata tena zile bidhaa tunazoziagiza kutoka nje kirahisi, hivyo wachumi na serikali waangalie namna gani watatusaidia sisi wafanyabishara tupate hiyo fedha ili tusikwame,"- Deogratius Temba, Mfanyabiashara

Source: ITV
Bi kiroboto yeye amechagua njia ya WAVIVU kukaa kimya ."nimeamua kukaa kimya"
 
"Wakati ule tunaanza kuagiza bidhaa nje ikiwemo magari, kwa mwaka 2010 dola tulikuwa tunanunua kwa shilingi 1530 mara ya kwanza kabisa wakati naanza kuagiza bidhaa nje ya nchi, baadaye ikapanda ikaenda 1600 lakini leo tunazungumzia kwenye 2550," Deogratius Temba, Mfanyabiashara

"Benki wanauza dola kwa 2550 lakini dola hauipati, lakini ukitaka kununua dola 10,000 kwa pamoja benki hupati lazima utapewa dola 500, 500 ina maana utenge hiyo fedha ununue kidogo kidogo, kwenye soko la nje unapata na inaenda hadi kwenye 2700,"- Deogratius Temba, Mfanyabiashara

"Gari ambayo mwaka jana nilikuwa ninaiuza kwa milioni 15 sasa hivi sokoni inaenda kwa milioni 18 hadi 19, kwa mtu ambaye alikuwa na malengo ya miaka miwili mitatu kununua gari hilo jambo la dola tayari lina athari kubwa sana, bei inazidi kuongezeka,"- Deogratius Temba, Mfanyabiashara

"Kama dola haitopatikana kwa urahisi kama ilivyokuwa mwanzo tunachokiano ni anguko la biashara, hatutopata tena zile bidhaa tunazoziagiza kutoka nje kirahisi, hivyo wachumi na serikali waangalie namna gani watatusaidia sisi wafanyabishara tupate hiyo fedha ili tusikwame,"- Deogratius Temba, Mfanyabiashara

Source: ITV
Lakini ajabu mimi jana nimehamishia dollar 127 kwenye akaunti yangu ya crdb nikashangaa kiasi walichokiongeza ni tzs 208000 tu. Mpaka leo najiuliza sipati jibu ila nikipata muda nitawatembelea.
 
Kweli mkuu sitanii. Na si mara ya kwanza hili kutokea. Leo nilikuwa bsy nikajaribu watafta kupitia whatsapp number yao hawajajibu ila nadhani ijumaa nitawatembelea
Waambie wakurudishie pesa Yako, before transactions hakikisha una exchange rate ya benk husika kwa siku hio, uiweke kwenye records
 
Pesa Yako ilibidi kinyonge iwe around 290000+
Yani ni lazima niwatembelee wanieleze. Mwaka jana pia hivyo hivyo nlihamisha kama 100 nikapokea 98000, sikufuatilia nikahisi labda akaunti haikuwa na ela muda mrefu kuna charges za malimbikizo. Lakini kwa hili hapana maana kama ni ela ilikuwemo. Kuna muda nikihamisha inaingia kama nilivyotaraji na kuna muda wanakata haswaa. Last moth iliingia dollar 240, nikapokea msg ya kwanza kuwa rla imeingia, ikaja msg imekatwa 20000 + then ikaja tena nyngne imekatwa 20,000+
 
Back
Top Bottom