Uhaba wa dollar duniani, huu ndio ukweli mchungu tusiotaka kuukubali

Uhaba wa dollar duniani, huu ndio ukweli mchungu tusiotaka kuukubali

Ikifika November Dola hamna,

Inabidi sirikali ya CCCm ipaki pembeni yenyewe.

Kama hiyo ndo njia ka kuondokana na CCCm, ni jambo jema tu ingawa tutaumia wengi!!

Hatimaye Nuru itaonekana tena Tz!!
 
Na: Charlie Bihemo.

"Nations excluded from the 'imperial preference' trading system cannot reasonably be expected to relinquish control over the Bretton Woods institution"

Mara chache sana huwa nalazimika kushika kalamu yangu kuandika hapa, na leo ni moja ya hizo siku chache maana wakati mwingine tuna wajibu wa ziada wa kutoa elimu kwa watu wetu kuhusu mambo mtambuka yakiwemo haya yahusuyo uchumi.Katika mengi nitayoyaandika kuna kadhaa ambayo tutakubaliana kwa pamoja.

1. Kuna upungufu wa dollar duniani kama ambavyo kila mtu anakiri na hata jarida maarufu la Forbes linakiri katika andiko lao "Africa Becomes A Casualty In The War Against Inflation As Dollars Dry Up." kwamba tatizo lipo na Africa ni mhanga mkuu.

Na kwa upande wetu kama nchi kuna mazingira tunakiri kwamba katika mzunguko wetu na reserve yetu kama nchi tuna makadirio yanayonyesha by November tunahitaji usaidizi wa Dollar hadi Milioni miatano kufuatia athari za maboresho katika sera za fedha za Marekani na sababu zingine za nje (External Factors) ambazo ndo zimetufikisha katika hii hatua ya uhitaji.

2. Kitu cha pili tutakubalina ni kwamba; kama ilivyo katika nukuu mwanzoni mwa hili andiko, nafasi yetu kama nchi kuamua dolar ipatikane vipi na kiaje iko limited kwa sababu kadhaa. a) Sababu za ukosefu wa dollar kwa sasa hazitokani na sababu zetu za ndani bali ni zile za nje ambazo kimsingi hatuna uwezo nazo at all. b) Sababu nyingine kama mabadiliko ya sera za kifedha za US (Changes in US Monetary Policies) pia hatuna nguvu ya kidiplomasia kuzikabiri etc.

Na muhimu ijulikane kwamba; Dollar hatengenezi Mwigulu, Samia wala Bihemo. Dollar ni bidhaa kama bidhaa zingine na muundo wa upatikanaji wake hutegemea dhana ile ile ya kiuchumi ya Demands and Supply ambayo again uwezo wetu wa kui dictate hii dhana uko very limited kama nchi.

3. Tutakubaliana kwamba zile top dollar earning schemes za nchi kama vile uwekezaji, Exports na utalii bado zipo katika hatua za kufufuka baada ya kupigwa na matukio makubwa mawili vita na janga la covid ambavyo kwa ujumla wake viliathiri our earnig schemes na zaidi viliathiri hadi muundo wa uchumi wa Dunia ambao kimsingi tunaoumia ni sie nyasi maana wanaogombana ni tembo.

Katika mazingira hayo, ambapo hatu export, tuna tension katika uchumi wa Dunia etc, the easiest resort tunabaki nayo kama nchi ni kurudi kwa Taasisi za Kidunia za kifedha (Bretton Woods Institutions) kuomba nafuu ya kiuchumi ili kunusuru Forex reserve yetu. The truth is, kila wakati tunatakiwa kufany uaguzaji wa vitu/huduma na bidhaa za lazima kama mafuta, vifaa etc ambavyo vyote vinahitaji dollar na kama hakuna supply wala reserve nzuri ya dollar tunaeza kaukiwa.

Now WHAT IS THE ESSENCE FOR ENGAGING BRETTON WOODS FELLAZ KAMA IMF & WB ?

Sababu kubwa ya kuomba msaada kwa hawa wakubwa wawili IMF na World Bank ni mbili tu na si kwamba tunaomba Mkopo mpya wala nini NO, tunawaomba haya mawili pekee.

1. Sehemu kubwa ya Dollar Reserve yetu hupotea kwa kuhudumia deni la taifa, maana deni hulipwa kwa Dollar, na katika hili,.Benki ya Dunia na IMF ndo wadeni wetu wakuu na kwamba ukiweza kuwa win unaeza okoa fedha nyingi ambazo huwa tunawalipa kupitia akaunti zetu za EPA na fungu No.01 la bajeti yetu katika wakati huu wa uhaba wa dollar.

2. Sababu ya pili why tunawataka sana ni kwamba; Wao ndo wabia wakubwa wa mikopo ya kifedha Duniani na kwamba kupitia wao ni likely tunaeza pata hata credit reliefs kwa wadeni wetu wengine toka kila kona ya Dunia.

Sasa kwa bahati mbaya kidogo tumekua wepesi wa kulaumu wakati mwingine hata kwa vitu ambavyo kimsingi hatupaswi kulaumu. Tutamlaumu Dr. Samia, Mwigulu na kila mtu kuhusu ukosefu wa Dollar BUT ukweli ni kwamba hatua za kisera ambazo hadi sasa zimeshachukuliwa ni worthy cherishing na we can all trust the process maana hatupo peke yetu, Africa yote inapambana na Insha'Allah tutavuka.

Bihemo
Asante Nkerejiwa kwa kutufungua macho kwenye hili linalohusu dollar. Naomba nizijue US monetary zilizokuwa imposed na zikatuathiri mpaka sisi.
 
Kila aliyetahadharisha kuhusu ongezeko la deni la taifa alijibiwa "LINAHIMILIKA". Miradi MIKUBWA inabuniwa haraka haraka eti kutekeleza ilani. Sasa US dollar za kulipa madeni na kununulia mafuta hazitoshi, ulipie nini uache nini.
Tungekuwa na demokrasia halisi BUNGENI ingeundwa tume kurejea miradi yote MIKUBWA na matarajio yalioainishwa Tazama hali ya TAZARA, ATCL n.k. Tunajifunza lolote?
 
Na: Charlie Bihemo.

"Nations excluded from the 'imperial preference' trading system cannot reasonably be expected to relinquish control over the Bretton Woods institution"

Mara chache sana huwa nalazimika kushika kalamu yangu kuandika hapa, na leo ni moja ya hizo siku chache maana wakati mwingine tuna wajibu wa ziada wa kutoa elimu kwa watu wetu kuhusu mambo mtambuka yakiwemo haya yahusuyo uchumi.Katika mengi nitayoyaandika kuna kadhaa ambayo tutakubaliana kwa pamoja.

1. Kuna upungufu wa dollar duniani kama ambavyo kila mtu anakiri na hata jarida maarufu la Forbes linakiri katika andiko lao "Africa Becomes A Casualty In The War Against Inflation As Dollars Dry Up." kwamba tatizo lipo na Africa ni mhanga mkuu.

Na kwa upande wetu kama nchi kuna mazingira tunakiri kwamba katika mzunguko wetu na reserve yetu kama nchi tuna makadirio yanayonyesha by November tunahitaji usaidizi wa Dollar hadi Milioni miatano kufuatia athari za maboresho katika sera za fedha za Marekani na sababu zingine za nje (External Factors) ambazo ndo zimetufikisha katika hii hatua ya uhitaji.

2. Kitu cha pili tutakubalina ni kwamba; kama ilivyo katika nukuu mwanzoni mwa hili andiko, nafasi yetu kama nchi kuamua dolar ipatikane vipi na kiaje iko limited kwa sababu kadhaa. a) Sababu za ukosefu wa dollar kwa sasa hazitokani na sababu zetu za ndani bali ni zile za nje ambazo kimsingi hatuna uwezo nazo at all. b) Sababu nyingine kama mabadiliko ya sera za kifedha za US (Changes in US Monetary Policies) pia hatuna nguvu ya kidiplomasia kuzikabiri etc.

Na muhimu ijulikane kwamba; Dollar hatengenezi Mwigulu, Samia wala Bihemo. Dollar ni bidhaa kama bidhaa zingine na muundo wa upatikanaji wake hutegemea dhana ile ile ya kiuchumi ya Demands and Supply ambayo again uwezo wetu wa kui dictate hii dhana uko very limited kama nchi.

3. Tutakubaliana kwamba zile top dollar earning schemes za nchi kama vile uwekezaji, Exports na utalii bado zipo katika hatua za kufufuka baada ya kupigwa na matukio makubwa mawili vita na janga la covid ambavyo kwa ujumla wake viliathiri our earnig schemes na zaidi viliathiri hadi muundo wa uchumi wa Dunia ambao kimsingi tunaoumia ni sie nyasi maana wanaogombana ni tembo.

Katika mazingira hayo, ambapo hatu export, tuna tension katika uchumi wa Dunia etc, the easiest resort tunabaki nayo kama nchi ni kurudi kwa Taasisi za Kidunia za kifedha (Bretton Woods Institutions) kuomba nafuu ya kiuchumi ili kunusuru Forex reserve yetu. The truth is, kila wakati tunatakiwa kufany uaguzaji wa vitu/huduma na bidhaa za lazima kama mafuta, vifaa etc ambavyo vyote vinahitaji dollar na kama hakuna supply wala reserve nzuri ya dollar tunaeza kaukiwa.

Now WHAT IS THE ESSENCE FOR ENGAGING BRETTON WOODS FELLAZ KAMA IMF & WB ?

Sababu kubwa ya kuomba msaada kwa hawa wakubwa wawili IMF na World Bank ni mbili tu na si kwamba tunaomba Mkopo mpya wala nini NO, tunawaomba haya mawili pekee.

1. Sehemu kubwa ya Dollar Reserve yetu hupotea kwa kuhudumia deni la taifa, maana deni hulipwa kwa Dollar, na katika hili,.Benki ya Dunia na IMF ndo wadeni wetu wakuu na kwamba ukiweza kuwa win unaeza okoa fedha nyingi ambazo huwa tunawalipa kupitia akaunti zetu za EPA na fungu No.01 la bajeti yetu katika wakati huu wa uhaba wa dollar.

2. Sababu ya pili why tunawataka sana ni kwamba; Wao ndo wabia wakubwa wa mikopo ya kifedha Duniani na kwamba kupitia wao ni likely tunaeza pata hata credit reliefs kwa wadeni wetu wengine toka kila kona ya Dunia.

Sasa kwa bahati mbaya kidogo tumekua wepesi wa kulaumu wakati mwingine hata kwa vitu ambavyo kimsingi hatupaswi kulaumu. Tutamlaumu Dr. Samia, Mwigulu na kila mtu kuhusu ukosefu wa Dollar BUT ukweli ni kwamba hatua za kisera ambazo hadi sasa zimeshachukuliwa ni worthy cherishing na we can all trust the process maana hatupo peke yetu, Africa yote inapambana na Insha'Allah tutavuka.

Bihemo
Dah
Umeandika nini hapo.

Kwa mtazamo wa mbali naona umehubiri tatizo ingawa haujagusa chanzo wala solution yake.

Tatizo la dunia yeah. So what?
Kwa nini unajjtetea kuwa wasilaumiwe kina fulani. Kwani wana viwanda vya dola?
 
Na: Charlie Bihemo.

"Nations excluded from the 'imperial preference' trading system cannot reasonably be expected to relinquish control over the Bretton Woods institution"

Mara chache sana huwa nalazimika kushika kalamu yangu kuandika hapa, na leo ni moja ya hizo siku chache maana wakati mwingine tuna wajibu wa ziada wa kutoa elimu kwa watu wetu kuhusu mambo mtambuka yakiwemo haya yahusuyo uchumi.Katika mengi nitayoyaandika kuna kadhaa ambayo tutakubaliana kwa pamoja.

1. Kuna upungufu wa dollar duniani kama ambavyo kila mtu anakiri na hata jarida maarufu la Forbes linakiri katika andiko lao "Africa Becomes A Casualty In The War Against Inflation As Dollars Dry Up." kwamba tatizo lipo na Africa ni mhanga mkuu.

Na kwa upande wetu kama nchi kuna mazingira tunakiri kwamba katika mzunguko wetu na reserve yetu kama nchi tuna makadirio yanayonyesha by November tunahitaji usaidizi wa Dollar hadi Milioni miatano kufuatia athari za maboresho katika sera za fedha za Marekani na sababu zingine za nje (External Factors) ambazo ndo zimetufikisha katika hii hatua ya uhitaji.

2. Kitu cha pili tutakubalina ni kwamba; kama ilivyo katika nukuu mwanzoni mwa hili andiko, nafasi yetu kama nchi kuamua dolar ipatikane vipi na kiaje iko limited kwa sababu kadhaa. a) Sababu za ukosefu wa dollar kwa sasa hazitokani na sababu zetu za ndani bali ni zile za nje ambazo kimsingi hatuna uwezo nazo at all. b) Sababu nyingine kama mabadiliko ya sera za kifedha za US (Changes in US Monetary Policies) pia hatuna nguvu ya kidiplomasia kuzikabiri etc.

Na muhimu ijulikane kwamba; Dollar hatengenezi Mwigulu, Samia wala Bihemo. Dollar ni bidhaa kama bidhaa zingine na muundo wa upatikanaji wake hutegemea dhana ile ile ya kiuchumi ya Demands and Supply ambayo again uwezo wetu wa kui dictate hii dhana uko very limited kama nchi.

3. Tutakubaliana kwamba zile top dollar earning schemes za nchi kama vile uwekezaji, Exports na utalii bado zipo katika hatua za kufufuka baada ya kupigwa na matukio makubwa mawili vita na janga la covid ambavyo kwa ujumla wake viliathiri our earnig schemes na zaidi viliathiri hadi muundo wa uchumi wa Dunia ambao kimsingi tunaoumia ni sie nyasi maana wanaogombana ni tembo.

Katika mazingira hayo, ambapo hatu export, tuna tension katika uchumi wa Dunia etc, the easiest resort tunabaki nayo kama nchi ni kurudi kwa Taasisi za Kidunia za kifedha (Bretton Woods Institutions) kuomba nafuu ya kiuchumi ili kunusuru Forex reserve yetu. The truth is, kila wakati tunatakiwa kufany uaguzaji wa vitu/huduma na bidhaa za lazima kama mafuta, vifaa etc ambavyo vyote vinahitaji dollar na kama hakuna supply wala reserve nzuri ya dollar tunaeza kaukiwa.

Now WHAT IS THE ESSENCE FOR ENGAGING BRETTON WOODS FELLAZ KAMA IMF & WB ?

Sababu kubwa ya kuomba msaada kwa hawa wakubwa wawili IMF na World Bank ni mbili tu na si kwamba tunaomba Mkopo mpya wala nini NO, tunawaomba haya mawili pekee.

1. Sehemu kubwa ya Dollar Reserve yetu hupotea kwa kuhudumia deni la taifa, maana deni hulipwa kwa Dollar, na katika hili,.Benki ya Dunia na IMF ndo wadeni wetu wakuu na kwamba ukiweza kuwa win unaeza okoa fedha nyingi ambazo huwa tunawalipa kupitia akaunti zetu za EPA na fungu No.01 la bajeti yetu katika wakati huu wa uhaba wa dollar.

2. Sababu ya pili why tunawataka sana ni kwamba; Wao ndo wabia wakubwa wa mikopo ya kifedha Duniani na kwamba kupitia wao ni likely tunaeza pata hata credit reliefs kwa wadeni wetu wengine toka kila kona ya Dunia.

Sasa kwa bahati mbaya kidogo tumekua wepesi wa kulaumu wakati mwingine hata kwa vitu ambavyo kimsingi hatupaswi kulaumu. Tutamlaumu Dr. Samia, Mwigulu na kila mtu kuhusu ukosefu wa Dollar BUT ukweli ni kwamba hatua za kisera ambazo hadi sasa zimeshachukuliwa ni worthy cherishing na we can all trust the process maana hatupo peke yetu, Africa yote inapambana na Insha'Allah tutavuka.

Bihemo
Tuna daktari wa uchumi
 
porojo porojo, kabla ya covid balance of trade ya nchi yetu ilikua negative kwa sehemu kubwa miongoni mwa nchi tunaofanya nao biashara

-kamwe hatuwezi kuzicontrol external factors zinazohusiana na dollars
-kazi yetu nikupambana na internal factors hasa policies zitafanya mtiririko wa dollars kukaa sawa hasa mauzo ya nje na sera za fedha
-wajinga sisi tunashindwa kuchimba hata chuma huko ludewa tuuze nje dollars zisipotee
-mitaji mikubwa tunatoa nje mfano kwenye madini jamaa wakishachukua chao wanasepa na sehemu kubwa ya fedha kwenye mzunguko, sera kipindi cha zinjathropus
- nasikitika ukiniuliza kama mtanzania sisi kama nchi tunaelekea wapi hakuna dira.

acha kujificha kwenye kichaka cha external factors ambazo kamwe ziko nje ya eneo la maamuzi yako chawa mkubwa wewe, shugulika na internal factors.
 
Na: Charlie Bihemo.

"Nations excluded from the 'imperial preference' trading system cannot reasonably be expected to relinquish control over the Bretton Woods institution"

Mara chache sana huwa nalazimika kushika kalamu yangu kuandika hapa, na leo ni moja ya hizo siku chache maana wakati mwingine tuna wajibu wa ziada wa kutoa elimu kwa watu wetu kuhusu mambo mtambuka yakiwemo haya yahusuyo uchumi.Katika mengi nitayoyaandika kuna kadhaa ambayo tutakubaliana kwa pamoja.

1. Kuna upungufu wa dollar duniani kama ambavyo kila mtu anakiri na hata jarida maarufu la Forbes linakiri katika andiko lao "Africa Becomes A Casualty In The War Against Inflation As Dollars Dry Up." kwamba tatizo lipo na Africa ni mhanga mkuu.

Na kwa upande wetu kama nchi kuna mazingira tunakiri kwamba katika mzunguko wetu na reserve yetu kama nchi tuna makadirio yanayonyesha by November tunahitaji usaidizi wa Dollar hadi Milioni miatano kufuatia athari za maboresho katika sera za fedha za Marekani na sababu zingine za nje (External Factors) ambazo ndo zimetufikisha katika hii hatua ya uhitaji.

2. Kitu cha pili tutakubalina ni kwamba; kama ilivyo katika nukuu mwanzoni mwa hili andiko, nafasi yetu kama nchi kuamua dolar ipatikane vipi na kiaje iko limited kwa sababu kadhaa. a) Sababu za ukosefu wa dollar kwa sasa hazitokani na sababu zetu za ndani bali ni zile za nje ambazo kimsingi hatuna uwezo nazo at all. b) Sababu nyingine kama mabadiliko ya sera za kifedha za US (Changes in US Monetary Policies) pia hatuna nguvu ya kidiplomasia kuzikabiri etc.

Na muhimu ijulikane kwamba; Dollar hatengenezi Mwigulu, Samia wala Bihemo. Dollar ni bidhaa kama bidhaa zingine na muundo wa upatikanaji wake hutegemea dhana ile ile ya kiuchumi ya Demands and Supply ambayo again uwezo wetu wa kui dictate hii dhana uko very limited kama nchi.

3. Tutakubaliana kwamba zile top dollar earning schemes za nchi kama vile uwekezaji, Exports na utalii bado zipo katika hatua za kufufuka baada ya kupigwa na matukio makubwa mawili vita na janga la covid ambavyo kwa ujumla wake viliathiri our earnig schemes na zaidi viliathiri hadi muundo wa uchumi wa Dunia ambao kimsingi tunaoumia ni sie nyasi maana wanaogombana ni tembo.

Katika mazingira hayo, ambapo hatu export, tuna tension katika uchumi wa Dunia etc, the easiest resort tunabaki nayo kama nchi ni kurudi kwa Taasisi za Kidunia za kifedha (Bretton Woods Institutions) kuomba nafuu ya kiuchumi ili kunusuru Forex reserve yetu. The truth is, kila wakati tunatakiwa kufany uaguzaji wa vitu/huduma na bidhaa za lazima kama mafuta, vifaa etc ambavyo vyote vinahitaji dollar na kama hakuna supply wala reserve nzuri ya dollar tunaeza kaukiwa.

Now WHAT IS THE ESSENCE FOR ENGAGING BRETTON WOODS FELLAZ KAMA IMF & WB ?

Sababu kubwa ya kuomba msaada kwa hawa wakubwa wawili IMF na World Bank ni mbili tu na si kwamba tunaomba Mkopo mpya wala nini NO, tunawaomba haya mawili pekee.

1. Sehemu kubwa ya Dollar Reserve yetu hupotea kwa kuhudumia deni la taifa, maana deni hulipwa kwa Dollar, na katika hili,.Benki ya Dunia na IMF ndo wadeni wetu wakuu na kwamba ukiweza kuwa win unaeza okoa fedha nyingi ambazo huwa tunawalipa kupitia akaunti zetu za EPA na fungu No.01 la bajeti yetu katika wakati huu wa uhaba wa dollar.

2. Sababu ya pili why tunawataka sana ni kwamba; Wao ndo wabia wakubwa wa mikopo ya kifedha Duniani na kwamba kupitia wao ni likely tunaeza pata hata credit reliefs kwa wadeni wetu wengine toka kila kona ya Dunia.

Sasa kwa bahati mbaya kidogo tumekua wepesi wa kulaumu wakati mwingine hata kwa vitu ambavyo kimsingi hatupaswi kulaumu. Tutamlaumu Dr. Samia, Mwigulu na kila mtu kuhusu ukosefu wa Dollar BUT ukweli ni kwamba hatua za kisera ambazo hadi sasa zimeshachukuliwa ni worthy cherishing na we can all trust the process maana hatupo peke yetu, Africa yote inapambana na Insha'Allah tutavuka.

Bihemo
Umechambua vizuri Dkt Bihemo
 
hamuwezi kumpa mtu mmoja kazi ya kuchapisha pesa za dunia halafu mkabaki salama. Kinachotakiwa ni kufumua mfumo mzima wa kifedha. Tukikomaa tutakufa tunajiona.
Mimi hili nalishangaa mpaka kufa
Hivi waliokaa wakakubaliana hili Suala walifikiri sawa sawa?
Yaani siwaelewi kabisa
Na hata baada ya athari zake kama hizi kuonekana,Halwachache wananyanyua mdomo kutaka mabadiliko lakini wengi tupo kama mazwazwa
 
Back
Top Bottom