Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Ujerumani yawa nchi ya mwanzo Ulaya kuanza kuhaha kukosa gesi ya Urusi baada ya nchi hiyo kukataa kulipia gesi kwa sarafu ya Rouble ya Urusi badala ya dola ya Marekani.
Hayo yamesemwa na waziri wa Nishati wa nchi hiyo bw.Habeck ambaye pia ni naibu chancellor wa nchi hiyo. Katika ufafanuzi wake amesema hifadhi ya gesi ya nchi hiyo iko asilimia 25 tu.
Juu ya kwamba bado nishati hiyo inaendelea kutiririka kutoka Urusi lakini iwapo itasita basi itabidi waanze mgao mara moja kwa kutoa kipaumbele kwa baadhi ya taaasi kama vile hospitali na taasisi nyengine nyeti za serikali.
===
Gas supply crisis fears grow as Germany triggers ‘early warning’
First step under emergency gas plan activated as Germany prepares for potential cut-off over refusal to make payments in roubles.
Germany has taken the first official step towards gas rationing as fears grow over a potential stop in Russian deliveries amid a standoff over payments in roubles.
The move by the European Union’s industrial powerhouse on Wednesday to activate the “early warning” phase” of an emergency gas law was the clearest sign yet countries in the bloc were preparing for supply issues after rolling out far-reaching sanctions in the wake of Russia’s invasion of Ukraine last month.
“A crisis room will now be established in the ministry,” economics minister Robert Habeck told reporters in Berlin, adding that the team will be comprised of members from his ministry, the country’s regulator and the private sector.
The “early warning” measure, the first of three alarm levels under the German government’s emergency gas plan, was “preventative” and intended to assure supply of the fuel, said Habeck, who is also energy minister and vice chancellor.
Source: Aljazeera
Hayo yamesemwa na waziri wa Nishati wa nchi hiyo bw.Habeck ambaye pia ni naibu chancellor wa nchi hiyo. Katika ufafanuzi wake amesema hifadhi ya gesi ya nchi hiyo iko asilimia 25 tu.
Juu ya kwamba bado nishati hiyo inaendelea kutiririka kutoka Urusi lakini iwapo itasita basi itabidi waanze mgao mara moja kwa kutoa kipaumbele kwa baadhi ya taaasi kama vile hospitali na taasisi nyengine nyeti za serikali.
===
Gas supply crisis fears grow as Germany triggers ‘early warning’
First step under emergency gas plan activated as Germany prepares for potential cut-off over refusal to make payments in roubles.
Germany has taken the first official step towards gas rationing as fears grow over a potential stop in Russian deliveries amid a standoff over payments in roubles.
The move by the European Union’s industrial powerhouse on Wednesday to activate the “early warning” phase” of an emergency gas law was the clearest sign yet countries in the bloc were preparing for supply issues after rolling out far-reaching sanctions in the wake of Russia’s invasion of Ukraine last month.
“A crisis room will now be established in the ministry,” economics minister Robert Habeck told reporters in Berlin, adding that the team will be comprised of members from his ministry, the country’s regulator and the private sector.
The “early warning” measure, the first of three alarm levels under the German government’s emergency gas plan, was “preventative” and intended to assure supply of the fuel, said Habeck, who is also energy minister and vice chancellor.
Source: Aljazeera