Uhaba wa gesi kuitikisa Ulaya

Uhaba wa gesi kuitikisa Ulaya

Maji shingoni.
Screenshot_20220331-120539.jpg
 
Huna akili we mtoto angalia hio hapo chini au tumia hata Google kuelewa mambo sio unapayuka tu

View attachment 2170191
Mkuu sasa tuko 2022, umeleta habari ya wheat exports 2020 sijui hoja yako iko wapi, tunataka tuiangalie russia baada ya kuivamia Ukraine ataweza vipi kupunguza foleni ya raia wake wakilazimishwa kinunua sukari 2kg kwa mtu 1 tu., lakini em tupia hapa uangalie exchange rate ya ya fedha russia rub kwa $

exch.jpg
 
Mkuu sasa tuko 2022, umeleta habari ya wheat exports 2020 sijui hoja yako iko wapi, tunataka tuiangalie russia baada ya kuivamia Ukraine ataweza vipi kupunguza foleni ya raia wake wakilazimishwa kinunua sukari 2kg kwa mtu 1 tu., lakini em tupia hapa uangalie exchange rate ya ya fedha russia rub kwa $

View attachment 2170221
Kila mtu ale chakula chake Unasema Rssia ana njaa ni biggest exporter wa ngano dunia kwaio ndani ya mwezi mmoja chakula kimeisha??

UCScreenshot20220331124424.png


Takwimu za siku 4 zilizopita hizi hapa
 
Kila mtu ale chakula chake Unasema Rssia ana njaa ni biggest exporter wa ngano dunia kwaio ndani ya mwezi mmoja chakula kimeisha??

View attachment 2170238

Takwimu za siku 4 zilizopita hizi hapa
1648720757018.png

Mkuu siku 4 vipi na kwa mujibu wa bandiko lako mwenyewe ni tokea 2020? usilamishe utakavyo wewe tena ilibidi wende kwenye Wikipedia., hii ni history tu lete habari ya sasa kuhusu Putini na aila zake.
 
Mrusi ana vyakula vya kutosha na nishati ya kutosha.Mambo yataenda tu kwa kukaza mkanda.Lakini Ujerumani na wenzao wa Ulaya lazima hatimae watanywea.
Tumaini lipo kuziburuza nchi za mashariki ya kati .Pindi na wao wakiacha ujinga wa kukokotwa kutimiza malengo ya watu basi Ulaya hamna kitu.
Hujui kwamba mbadala wa Gas ni Makaa ya Mawe ambayo ni rahisi na nafuu kuliko gas?
 
Hii ndo itakua mwanzo wa mwisho wa petrodollars....
US kwa miaka mingi amekua akifaidika kwa matumizi ya ela yake kutumika ktk transaction za kimataifa...
Putin anaweza tetereka Ila ni kwa muda tu.
Russia ni li nchi limoja kuuuuubwa km Africa... Lina watu wachache sana takriban 145Milion uku nchi ikiwa kubwa km Africa.. Russia wana Ardhi ya kutosha kulisha nusu ya Dunia... Russia wana Nishati na Mafuta na Gas yakutosha, Mafuta ni wapili baada ya Saudi Arabia... Russia wana Metal km Aluminum, Copper za kutosha.
Russia wana Gold,Uranium nk za kutosha.
Russia ni mzalishaji mkuu wa Grain, soya Bean, ngano na analisha nchi kibao za Africa na Arabuni hivo pata picha...
So ktk aya yanayoendelea Russia ataumia kwa kiasi Ila naziona Nchi za Ulaya maisha yakipagalanyika,maandamano na mizozo...
Huu ndoutakua mwanzo wa Petrodollars kwani nchi ndogo zilizojaribu kutaka kuachana na matumizi ya Dollars kwenye mauzo ya Nishati yao aidha zilipinduliwa au kuletewa zengwe na US ila kwa Russia nchi namba Moja kwa nguvu za Nuclear nadhani atakua ametuondolea kisiki cha dollars
Wachumi uchwara wa Jamiiforums,huyo Russia anauza Gas na Mafuta kiasi gani kwenye soko la Dunia kuwashinda Waarabu na Marekani?
 
Hii haina kidhibiti chochote nimeweka kwa dustbin.,

Labda niongezee tu utakuta hiyo 2020 Russia ikisafirisha ngano ulaya zaidi lakini tokea hii ban ianze utakuta sasa ulaya inapokea ngano kutoka washrika wengine wa ulaya kama canada na nchi nyeinge., lazima ufahamu russia wana hali ngumu
 
Hii haina kidhibiti chochote nimeweka kwa dustbin.,

Labda niongezee tu utakuta hiyo 2020 Russia ikisafirisha ngano ulaya zaidi lakini tokea hii ban ianze utakuta sasa ulaya inapokea ngano kutoka washrika wengine wa ulaya kama canada na nchi nyeinge., lazima ufahamu russia wana hali ngumu
Mada ilikuwa watakufa na njaa sasa naona unahama
 
Mada ilikuwa watakufa na njaa sasa naona unahama
Niko hapo hapo wanapanga foleni kununua sukari 2kgs kwa mtu, sasa kama unapanga folen leo mwezi 1 toka vikwanzo waekewe baada miezi 4 mbele itakuaje? njaa tu mkuu
 
Gap la vyama pinzani vya ulaya na america kuwajibisha serikali sasa...... republican naona washaanza huko kumshika makende babu wao....spain nako naona si haba pashaanza kuwaka, france kwa bwana mdogo naona kama kaona upepo sio anataka kuongea na putin.....

Na lengo la putin hapo ukute hata sio Ukraine, lakini kafaulu kuwavuta wajinga wa ulaya na marekani wakajua shida ni Ukraine.
 
Hakuna kitu hapo Russia atadoda na gesi yake hakuna mtu mwenye akili timamu atakayenunua nishati yenye masharti huku Russia mwenyewe akiwa ameshachoka vibaya kiasi kwamba hata vita vyake alivyovianzisha mwenyewe vimeshamshinda.

Options are there concerning the Europe's energy saga to which the Russian gas is not indispensable.
Week ijayo siku kama ya leo uje tena
 
Back
Top Bottom