Uhaba wa mafuta unaisogelea Dar, bei ya Petroli kwa Kibaha yapanda kutoka Tsh. 2,700 hadi 3,700 ghafla

Hivi Serikali inaposema mafuta yapo harafu bei zinapanda Kwa kiasi hichi tuwaelewaje?
Nenda kawaulize,unangoja nini!!!

Siyo wewe kila siku kila saa unakata kata viuno humu kuwasifia hao wanaoruhusu watu kupandisha bidhaa jinsi wanavyotaka wao?
 
Nipo hapa Manyovu border to Burundi nao wanakimbilia TZ kununua mafuta nasema hivi ile kauli ya Mwigulu naenda itimiza soon kuhamia Burundi tu
 
Tulieni mama anafungua nchi😂😂 anaupiga mwingi
 
Woga wako tu, mimi ikifika 14,000

Uoga wako tu, mimi ikifika Tsh 24553 kwa liter ndo nitashtuka, ila chinj ya 24552 kwa liter wala hakuna shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…