Uhaba wa Mafuta unazidi kutisha

Uhaba wa Mafuta unazidi kutisha

Si mnasema Waarabu wanawaibia? Kojoleeni kwenye matanki ya gari sasa muendeshe magari.

"baniani mbaya kiatu chake dawa"?


Mwende mkabadili mifumo ya magari yenu itumie Taifa Gas ya Rostam Aziz.
We pimbi kweli
 
Sio Siri Tena, Hali ni tete huku Mkoani. Natokea Tanga - Mombo, hakuna Mafuta ya petrol, nasikia Hadi Same!

Wenye nchi wanasema Mafuta yapo, anyway huenda Mafuta yapo hatutaki tu kujaza! Ila athari zake Kwa uchumi ni kubwa.

Hili nalo Kamati ya CCM itoe tamko watume timu mikoani ikawaelimishe wananchi kuwa mafuta yapo.
kazi ya last born, kwani kuna mtu anamgusa?
 
Sio Siri Tena, Hali ni tete huku Mkoani. Natokea Tanga - Mombo, hakuna Mafuta ya petrol, nasikia Hadi Same!

Wenye nchi wanasema Mafuta yapo, anyway huenda Mafuta yapo hatutaki tu kujaza! Ila athari zake Kwa uchumi ni kubwa.

Hili nalo Kamati ya CCM itoe tamko watume timu mikoani ikawaelimishe wananchi kuwa mafuta yapo.
Hii hali si kwamba Saa100 na watu wake ktk ku push issue ya Bandari si kwamba yanatengenezwa mazingira ili watanzania waone ulazima wa kuwakubali Dp World au nini hasa kipo nyuma ya upungufu huu?
 
Sio Siri Tena, Hali ni tete huku Mkoani. Natokea Tanga - Mombo, hakuna Mafuta ya petrol, nasikia Hadi Same!

Wenye nchi wanasema Mafuta yapo, anyway huenda Mafuta yapo hatutaki tu kujaza! Ila athari zake Kwa uchumi ni kubwa.

Hili nalo Kamati ya CCM itoe tamko watume timu mikoani ikawaelimishe wananchi ku

Alafu juzi mwamba kaitisha sijui hafla gani na matambo kama yote....kuna watu hii nchi ya kwao na sisi ndio wapangaji.
Nafurahia sana hizi show
kanafanya kanavyojisikia, utadhani kamtu ka maana sana
 
Si mnasema Waarabu wanawaibia? Kojoleeni kwenye matanki ya gari sasa muendeshe magari.

"baniani mbaya kiatu chake dawa"?


Mwende mkabadili mifumo ya magari yenu itumie Taifa Gas ya Rostam Aziz.
Hivi waliohodhi biashara ya mafuta ni akina Nani hapa bongo? Hivi hii nchi inaongozwa na serikali Gani ya kipumbavu kama Sio CCM??

Hao waarabu unaowashadadia hata hawajui kama Kuna Simbilisi Kama wewe Ina exist. Waarabu wauwaji hawa, una akili kama piriton
 
Sio Siri Tena, Hali ni tete huku Mkoani. Natokea Tanga - Mombo, hakuna Mafuta ya petrol, nasikia Hadi Same!

Wenye nchi wanasema Mafuta yapo, anyway huenda Mafuta yapo hatutaki tu kujaza! Ila athari zake Kwa uchumi ni kubwa.

Hili nalo Kamati ya CCM itoe tamko watume timu mikoani ikawaelimishe wananchi kuwa mafuta yapo.
Habari kama hii kwa chadema ni habari ya furaha kabisa.
 
Nchi hii inahujumiwa sanaa na watu wasio wazelendo ngoja tuendelee but one day watu watachoka ndo wataona sura Halisi ya Mtz
Sura halisi ya Mtz inajulikana na kila mtu. Hata mimi naijua. Ili ibadilike, tuwahamasishe wanawake wazae na Waarabu kwa wingi. Wakizaliwa waarabu, baada ya miaka mia watanzania watakuwa na sura nyingine.
 
Sura halisi ya Mtz inajulikana na kila mtu. Hata mimi naijua. Ili ibadilike, tuwahamasishe wanawake wazae na Waarabu kwa wingi. Wakizaliwa waarabu, baada ya miaka mia watanzania watakuwa na sura nyingine.
FB_IMG_1690589310153.jpg
 
Hivi waliohodhi biashara ya mafuta ni akina Nani hapa bongo? Hivi hii nchi inaongozwa na serikali Gani ya kipumbavu kama Sio CCM??

Hao waarabu unaowashadadia hata hawajui kama Kuna Simbilisi Kama wewe Ina exist. Waarabu wauwaji hawa, una akili kama piriton
Hakuna aliyehodhi biashara ya mafuta hapa Bongo. Mafuta yetu yote yanatoka nje ya Tanzania.

Unaonesha huielewi kabisa biashara ya mafuta inaendaje duniani na hata hapa kwetu.

Mzee Ali Hassan Mwinyi, akipopokea nchi kutoka kwa Nyerere alikuta hakua mafuta, hakuna pesa benki. Hakuna chakula. Watu hata unga wanakaa foleni kuupayta.

Magari binafsi uyalikuwa hata kuyatembeza ni kwa siku maalum. Nyerere alikausha killa kitu kwenye nchi.

Msifikiri Nyerere "aliyaachia madaraka ya Urais kwa kupenda tu. Alibanwa mpaka penati kwa kujidai ni mjanja.

Hivi tunavyoongea na mavyoambiwa ndage ya Rais imeonekana Dubai na Saudi Arabia, msifikiri watu wanpiga misele tu huko.

Hao tunaowasema, kuwatukana na kuwakejeli ndiyo waliiokowa Tanzania mpaka mnaona leo tunchaguwa tule mchele upi. Tulikuwa hatuna uchguzi hapa, tulilishwa sembe la njano mpaka ukienda haja kubwa inatoka ya njano.

Uwepo wa mama madarakani si kwa kupenda kwake, ni kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu kwa Tanzania.

Kwa ufupi, kukosa mafuta leo ni matokeo ya maamuzi na uongozi mbovu wa awamu iliyopita, mwacheni mama achape kazi kuweka mambo sawa.
 
Hakuna aliyehodhi biashara ya mafuta hapa Bongo. Mafuta yetu yote yanatoka nje ya Tanzania.

Unaonesha huielewi kabisa biashara ya mafuta inaendaje duniani na hata hapa kwetu.

Mzee Ali Hassan Mwinyi, akipopokea nchi kutoka kwa Nyerere alikuta hakua mafuta, hakuna pesa benki. Hakuna chakula. Watu hata unga wanakaa foleni kuupayta.

Magari binafsi uyalikuwa hata kuyatembeza ni kwa siku maalum. Nyerere alikausha killa kitu kwenye nchi.

Msifikiri Nyerere "aliyaachia madaraka ya Urais kwa kupenda tu. Alibanwa mpaka penati kwa kujidai ni mjanja.

Hivi tunavyoongea na mavyoambiwa ndage ya Rais imeonekana Dubai na Saudi Arabia, msifikiri watu wanpiga misele tu huko.

Hao tunaowasema, kuwatukana na kuwakejeli ndiyo waliiokowa Tanzania mpaka mnaona leo tunchaguwa tule mchele upi. Tulikuwa hatuna uchguzi hapa, tulilishwa sembe la njano mpaka ukienda haja kubwa inatoka ya njano.

Uwepo wa mama madarakani si kwa kupenda kwake, ni kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu kwa Tanzania.

Kwa ufupi, kukosa mafuta leo ni sisa na uongozi mbovu wa awamu iliyopita, mwacheni mama achape kazi kuweka mambo sawa.
Alahu akber!,
 
Kwa ufupi, kukosa mafuta leo ni sisa na uongozi mbovu wa awamu iliyopita, mwacheni mama achape kazi kuweka mambo sawa
Awamu iliyokupa kesi ukaishi kama digidigi, shenzi sana, hivi ilikua awamu ya serikali ya CHADEMA?
 
Back
Top Bottom