CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Unataka sperms jirani... hahahahSa itakuwaje
🤣🤣🤣🤸Unataka sperms jirani... hahahah
Sema usijivunge jirani...🤣🤣🤣🤸
Good approach.Anza na wewe, uhai wako ulianza lini? Mimi ninawaza ni mda ule mbegu iliungana na yai. Umri wangu ni 60, ila uhai wangu ni 60 na miezi 9.
Kidogo tuSema usijivunge jirani...
Unataka kidogo tu...Kidogo tu
TuUnataka kidogo tu...
Mada ya watu hiyoUnataka kidogo tu...
Kuna maoni mengi juu ya jinsi dunia iliundwa na yako kila mahali. Unaweza kusoma nadharia katika vitabu vya kiada, kutazama maigizo mtandaoni, na kusikiliza mijadala. Kwa nini watu wanashangaa jinsi dunia iliumbwa? Ilikuwa miaka na miaka na miaka kabla hata mmoja wetu kuwepo, kwa nini ni muhimu? Je, inaweza kuwa kwa sababu jibu linaweza kuongoza kwenye jambo muhimu zaidi?
Dunia na ulimwengu vyote vina asili. Zote mbili pia zimetengenezwa nje ya maada. Sheria ya Uhifadhi wa Mambo inasema kwamba vitu haviwezi kuumbwa au kuharibiwa—kwa hivyo ni nini asili ya jambo ambalo lilitumiwa kuunda dunia na ulimwengu unaozunguka? Je, tunatokaje mahali ambapo hapakuwa na kitu na kisha kitu kitambo kidogo baadaye? Biblia ina maelezo.
Kachimbe bwawa kuubwaa halafu baada ya miaka uende uone kama hutakuta viumbe
We ukifa huo ndo mwisho wako wa dunia,, haya mengine ni nadharia tu.Vipi kuna mwisho wa Dunia
1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika.
4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.
5 Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.
Nakupenda sana Biblia.
MJUE SANA MUNGU ILI MOYO WAKO UWE NA AMANI.
We ukifa huo ndo mwisho wako wa dunia,, haya mengine ni nadharia tu.
Marko 9:1 "akawaambia, amin nawaambia pana watu katika hawa wasimamao hapa, ambao hawataonja mauti kabisa, hata watakapouona ufalme wa Mungu umekuja kwa nguvu(kurudi kwa YESU mara ya pili.) Hapa ni YESU Alikuwa anaongea na wanafunzi wake,, swali ni je kwanini wanafunzi wake wote walikufa kabla hata ahadi yake haijatimia?,, ni nani aliye na uhakika kuwa kuna siku dunia itafika mwisho?Dunia yote haiwezi kuishia?
Uhai haukuanza bali ulihawilishwa.. Uhai ni roho bila roho hakuna uhai na tafsiri ya roho ni nishati, nishati haiumbwi wala haiharikiki/haribiwi bali inaweza tu kuhawilishwa