Uhakika Tanzania tunaingia katika kumi bora za Nchi zenye wananchi wenye furaha duniani

Uhakika Tanzania tunaingia katika kumi bora za Nchi zenye wananchi wenye furaha duniani

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Kabisa kabisa hatupo mbali, kwa muelekeo na Gia tuliyoondoka nayo baada ya Uchaguzi uliolalamikiwa na Vyama vya Upinzani.

Yaani kama mheshimiwa baba wa Taifa JPM utamfananisha na gari sijui awe gari gani kama ni ndege labda za kivita kama ni treni ni haipa lupu. Ila huyu ni binadamu mwenye kusifika anaipeleka Tanzania na kuipandisha daraja la kuwa na wananchi wenye furaha na amani.

Mazingira yanayojengwa na Serikali ya Tanzania chini ya JPM yanaelekea kwenye vigezo vyote vitakavyotupaisha na kuwa wananchi wenye furaha, ukiangalia mazingira ya miji yetu mikuu yameanza kunoga, mazingira yah yaani mikoa wilaya hadi vijijini huko furaha imeanza kujengeka na kwa miaka michache tu ijayo basi hakutakuwa na nchi ya wananchi waliojawa na furaha kama Tanzania, kweli yajayo yanafurahisha.

Ni kuwa na moyo wa kuvumiliana na kuvuta subira ,wale wa leo kwa leo yaani hivi vyama vya upinzani wasubiri watengenezewe mazingila mazuri ya kiutawala,kiutekelezaji na kiuwajibikaji.

Tulieni muone baba wa Taifa alieibuka from nowhere akilinyanyua Taifa hili.
 
Bwasheee huku mtaani Hali si Hali ,unafuraha Sana kama umevunja kikoba Leo. Mitaji haitoshi, mitaji hmn na Kodi kama zote na ajira kalalia mkurungwa.

Jambo moja au mawili yasizuiee maisha ya wengine tuwe makini na hili tujifunze kumudu mambo.
 
Bwasheee huku mtaani Hali si Hali ,unafuraha Sana kama umevunja kikoba Leo. Mitaji haitoshi, mitaji hmn na Kodi kama zote na ajira kalalia mkurungwa.

Jambo moja au mawili yasizuiee maisha ya wengine tuwe makini na hili tujifunze kumudu mambo.
Labda anawaza yule mbwa aliyekula milioni 1.7 kwa mwezi. Huyo ndo yupo uchumi wa kati.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Bwasheee huku mtaani Hali si Hali , unafuraha sana kama umevunja kikoba Leo. Mitaji haitoshi, mitaji hmn na Kodi kama zote na ajira kalalia mkurungwa.

Jambo moja au mawili yasizuiee maisha ya wengine tuwe makini na hili tujifunze kumudu mambo.
Habari za Chatto Veta na Chatto Mwaloni?
 
Back
Top Bottom