Madikizela
JF-Expert Member
- Jul 4, 2009
- 679
- 450
Heshima kwenu wakuu!
Nina ndugu yangu ambaye amepewa zabuni na halmashauri ya kutoza ushuru, utekelezaji wake ukawa mgumu kwa kuwa haijapitishwa na waziri mkuu.
Je mkataba alioingia na halmashauri ni halali? nini haki za kisheria
Nawasilisha
Nina ndugu yangu ambaye amepewa zabuni na halmashauri ya kutoza ushuru, utekelezaji wake ukawa mgumu kwa kuwa haijapitishwa na waziri mkuu.
Je mkataba alioingia na halmashauri ni halali? nini haki za kisheria
Nawasilisha