MKILINDI
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 791
- 1,120
Naomba nitoe rai yangu katika jukwaa la sheria kwa kutaka kujua sheria ya tanzania inasemaje kuhusu vyama vya kisiasa kuandaa vijana kwa kuwalinda viongozi wao(kama wao wanavyodai) kwangu mi naita jeshi kama sio vikosi ambavyo naona hatari mbele ya tanzania yetu.
Nijuze kuhusu sheria ya tz kwa hilo.
Nijuze kuhusu sheria ya tz kwa hilo.