Captain Phillip
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 894
- 538
Learned Brothers,
Ni kwa muda sasa nimekuwa nikiona udhalilishaji wa wazi wazi ukiendelea na kudakwa na magazeti pendwa kwa wingi ili kuuza na kujipatia fedha bila kujali damage inayoachwa kwa wahusika.Kuna hii kitu inayojiita OFM(oparesheni Fichua Maovu) ambayo inaendeshwa na Magazeti ya Shigongo kwa kushirikiana na polisi hasa wa Kinondoni.Ni mara kadhaa wamekwenda kuvamia watu walio faragha na kuwapiga picha ili kuuza magazeti japo huwa hatusomi ni nini kimeendelea baada ya watu hao kukamatwa.
Hoja yangu hapa ni kuwa hii oparesheni ni kwa faida ya nani na inamfaidisha nani in a free country na pale vyombo vya dola vinapotumika kwenda kukamata watu walio faragha labda tu kwa hisia kuwa huyu ni mke au mume wa mtu?Sijawahi kusoma popote pale kuona kama wanaoripoti kesi waliombwa vithibitisho kama cheti cha ndoa au cha kuzaliwa pale mzazi au spouse anapohusishwa.
Brothers kuna uhalali gani kwenye opareshi hii mbali na udhalilishaji?
Ni kwa muda sasa nimekuwa nikiona udhalilishaji wa wazi wazi ukiendelea na kudakwa na magazeti pendwa kwa wingi ili kuuza na kujipatia fedha bila kujali damage inayoachwa kwa wahusika.Kuna hii kitu inayojiita OFM(oparesheni Fichua Maovu) ambayo inaendeshwa na Magazeti ya Shigongo kwa kushirikiana na polisi hasa wa Kinondoni.Ni mara kadhaa wamekwenda kuvamia watu walio faragha na kuwapiga picha ili kuuza magazeti japo huwa hatusomi ni nini kimeendelea baada ya watu hao kukamatwa.
Hoja yangu hapa ni kuwa hii oparesheni ni kwa faida ya nani na inamfaidisha nani in a free country na pale vyombo vya dola vinapotumika kwenda kukamata watu walio faragha labda tu kwa hisia kuwa huyu ni mke au mume wa mtu?Sijawahi kusoma popote pale kuona kama wanaoripoti kesi waliombwa vithibitisho kama cheti cha ndoa au cha kuzaliwa pale mzazi au spouse anapohusishwa.
Brothers kuna uhalali gani kwenye opareshi hii mbali na udhalilishaji?