Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
- Thread starter
-
- #101
Hahahahaha...hapana ..sihitaji kusitiriwaDada mstiri mkubwa mwenzio, ujue huyo mtu mzima mwenzio anakuelewaga ni vile anaogopa kufungukaβ¦β¦πππππ
Tresor Mandala eti nadanganya??
Umedanganya pakubwa tuDada mstiri mkubwa mwenzio, ujue huyo mtu mzima mwenzio anakuelewaga ni vile anaogopa kufungukaβ¦β¦πππππ
Tresor Mandala eti nadanganya??
Huyo hata ukichukua wallet ukitoa hela yy ataishia kucheka hahahaaaaa!! Basi dada ake anajikombea mifwedha tu ππππUtulivu huna mambo mengi zaidi ya kucheka tuπππ
Hahahahaha..duhHuyo hata ukichukua wallet ukitoa hela yy ataishia kucheka hahahaaaaa!! Basi dada ake anajikombea mifwedha tu ππππ
Tatizo lako muoga π€£π€£π€£π€£Hahahahaha...hapana ..sihitaji kusitiriwa
Hahahahaha..hakuna anayenifaa hata mmoja...tufurahi tu ,tutoe stress..Siku ziendeTatizo lako muoga π€£π€£π€£π€£
Ww humu sis Joa ndio anakufaa
ππππ Sema kweli??Umedanganya pakubwa tu
Hahahahaha...kweli kabisa Rafiki..potelea mbali acha nife na tai shingoni km mjerumaniππππ Sema kweli??
We kufa na tai shingoni
πππ Ipo siku ntakukamata, VAR yangu itakushika tuHahahahaha..hakuna anayenifaa hata mmoja...tufurahi tu ,tutoe stress..Siku ziende
Hahahahaha....jitahidiπππ Ipo siku ntakukamata, VAR yangu itakushika tu
Mimi sio mchumbaLeo hutaki kuitwa mchumbaπ€£
Na dedicate wimbo huu kwa ajili yako
HahahahahaMimi sio mchumba
Yaani aninifurahishaga sana sijawahi Ina ana bishana na Mtu zaidi ya kucheka......huyo dadaake ndio nani kwanza nimjueππππHuyo hata ukichukua wallet ukitoa hela yy ataishia kucheka hahahaaaaa!! Basi dada ake anajikombea mifwedha tu ππππ
Ni kweli kabisa.Humu siku hz za mburula wengi
Eeeeh Bora umwambie wewe maana nishamuomba niende PM tukayajenge kagoma aiseeeπTatizo lako muoga π€£π€£π€£π€£
Ww humu sis Joa ndio anakufaa
Hahahaha..yaani nibishane humu ? Rafiki humu tuko ku enjoy....humu nyote nyie ni dada zangu π€£π€£π€£Yaani aninifurahishaga sana sijawahi Ina ana bishana na Mtu zaidi ya kucheka......huyo dadaake ndio nani kwanza nimjueππππ
Jamani dada ake si wewe πππYaani aninifurahishaga sana sijawahi Ina ana bishana na Mtu zaidi ya kucheka......huyo dadaake ndio nani kwanza nimjueππππ
π€£π€£π€£π€£π€£Haina maana kufa tai wakati itavuliwa tu utavishwa sandaHahahahaha...kweli kabisa Rafiki..potelea mbali acha nife na tai shingoni km mjerumani
Hahahahaha...PM tena.? Tunajenga nini ? Rafiki kwani kuna palipo bomoka ?Eeeeh Bora umwambie wewe maana nishamuomba niende PM tukayajenge kagoma aiseeeπ
Hahahahahaπ€£π€£π€£π€£π€£Haina maana kufa tai wakati itavuliwa tu utavishwa sanda