...Uhali gani ...

Huyo hata ukichukua wallet ukitoa hela yy ataishia kucheka hahahaaaaa!! Basi dada ake anajikombea mifwedha tu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Yaani aninifurahishaga sana sijawahi Ina ana bishana na Mtu zaidi ya kucheka......huyo dadaake ndio nani kwanza nimjue😁😁😁😁
 
Yaani aninifurahishaga sana sijawahi Ina ana bishana na Mtu zaidi ya kucheka......huyo dadaake ndio nani kwanza nimjue😁😁😁😁
Hahahaha..yaani nibishane humu ? Rafiki humu tuko ku enjoy....humu nyote nyie ni dada zangu 🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…