Wanawaza mambo yanaweza kugeuka wakaambiwa waajiriwa nao waende VETA kujinoa.Baadhi ya ofisi za uhamiaji Zina baadhi ya Watumishi wa ajabu mno ni kama hawapo kwaajili ya kuhudumia umma.
Ofisi ya Uhamiaji mkoa wa Arusha nimewavulia kofia ,Wanabaadhi ya Watumishi naweza sema wa hovyo mno mtu anaongea na mteja kama tunagombana ? Mteja amekuja anahitaji hati ya kusafiria namna mnavyompokea kama muhalifu fulani ๐ Lugha mbaya ,hakuna maelekezo Bali ni kukaripia tu... Badilikeni...
Aah wadada ๐๐wanakera haoMkuu ofisi zote za mamlaka ndio wako hivi.
Wanakera sanaa haswa ukikutana na mdada mweupe amevaa wigi
Kuna baadhi ya Watumishi wanakuhudumia Hadi unafurahiWanawaza mambo yanaweza kugeuka wakaambiwa waajiriwa nao waende VETA kujinoa.
Mm pia tatizo hilo lilinipata. Wanajifanya miungu watuBaadhi ya ofisi za uhamiaji Zina baadhi ya Watumishi wa ajabu mno ni kama hawapo kwaajili ya kuhudumia umma.
Ofisi ya Uhamiaji mkoa wa Arusha nimewavulia kofia ,Wanabaadhi ya Watumishi naweza sema wa hovyo mno mtu anaongea na mteja kama tunagombana ? Mteja amekuja anahitaji hati ya kusafiria namna mnavyompokea kama muhalifu fulani ๐ Lugha mbaya ,hakuna maelekezo Bali ni kukaripia tu... Badilikeni...
Toa helaKuna baadhi ya Watumishi wanakuhudumia Hadi unafurahi
Wameanza tena ? Kipindi Cha Magufuli waliacha hayo mamboBaadhi ya ofisi za uhamiaji Zina baadhi ya Watumishi wa ajabu mno ni kama hawapo kwaajili ya kuhudumia umma.
Ofisi ya Uhamiaji mkoa wa Arusha nimewavulia kofia ,Wanabaadhi ya Watumishi naweza sema wa hovyo mno mtu anaongea na mteja kama tunagombana ?
Mteja amekuja anahitaji hati ya kusafiria namna mnavyompokea kama muhalifu fulani ๐ Lugha mbaya ,hakuna maelekezo Bali ni kukaripia tu...
Badilikeni...