Baadhi ya ofisi za uhamiaji Zina baadhi ya Watumishi wa ajabu mno ni kama hawapo kwaajili ya kuhudumia umma.
Ofisi ya Uhamiaji mkoa wa Arusha nimewavulia kofia ,Wanabaadhi ya Watumishi naweza sema wa hovyo mno mtu anaongea na mteja kama tunagombana ?
Mteja amekuja anahitaji hati ya kusafiria namna mnavyompokea kama muhalifu fulani 🙌 Lugha mbaya ,hakuna maelekezo Bali ni kukaripia tu...
Badilikeni...
Ofisi ya Uhamiaji mkoa wa Arusha nimewavulia kofia ,Wanabaadhi ya Watumishi naweza sema wa hovyo mno mtu anaongea na mteja kama tunagombana ?
Mteja amekuja anahitaji hati ya kusafiria namna mnavyompokea kama muhalifu fulani 🙌 Lugha mbaya ,hakuna maelekezo Bali ni kukaripia tu...
Badilikeni...