Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamekuja kuchezesha kamari.Wana macho fulani hivi yanayoona hadi kesho.Hivi china ni nchi tajili au ubabaishaji tuu. kwa nini raia zake masikini watupwe africa?
Hawana hata vibali. Tanzania ni ya hovyo Sana!Wamekuja kuchezesha kamari.Wana macho fulani hivi yanayoona hadi kesho.
Uingereza waliwatupa masikini wake wote kule Australia, na wazawa weusi waitwao ‘Aborigines’ walichinjwa karibu wote, leo hii Australia ni kama mkoa wa UK hivi..., sasa na sisi Afrika ngoja tushangae shangae tuHivi China ni nchi tajiri au ubabaishaji tuu?
Kwa nini raia wake masikini watupwe Africa?