Nitoe rai kukagua uraia na passport za watu wote mashuhuri na wasanii kwenye list wasikosekane;
1. Petit Man wakuache
2. Wasanii wote wa bolingo
3. Dancers wote
4. Alistote
5. Wamiliki wote wa maduka ya nguo Kinondoni
Mtanishukuru baadae lakini mnaweza kuamua kupuuza pia.